Mitchell
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 904
- 1,036
Kwa hiyo ni nini mkuu mbona mie nipo humu na siijui?Amesema "miongoni mwa sababu" inamaanisha sio sababu pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni nini mkuu mbona mie nipo humu na siijui?Amesema "miongoni mwa sababu" inamaanisha sio sababu pekee.
Kwaiyo tukuandalie kadi ya uwana chamaMe nikioa lazima nitakua katika hii namba..
HUNA AKILIanal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua
Kama Pesa si sababu kuu iyo taarifa ni fekiAfisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.
"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu,"amesema Joyce
====
Haya yanajiri baada ya kamati ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kutoa ripoti Septemba 5, 2022 iliyoelezea kuwa mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa uvunjifu wa ndoa nyingi nchini ambapo wastani wa ndoa 300 huvunjika kila mwezi.
Kamati hiyo ilibaini pia kuwepo kwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na ukatili mkubwa wa kijinsia hasa ule unaohusisha watoto.
EATV
Hizi ndio sababu za msingi.KUFUKUZWA KAZI
KUFILISIKA KIBIASHARA
KUPATA AJALI+ULEMAVU AU UGONJWA SUGU!
ukifilisika utajua mwanamke NI kiumbe cha aina gani!
Yaani unakuwa mpole kama fala fulani hivi! Daktari hawezi kupima ukweli ukajulikana?tena inakuwa aibu kubwa sana,na mwanaume unakuwa huna cha kujitetea
Hata mimi sijui🤣🤣🤣Kwa hiyo ni nini mkuu mbona mie nipo humu na siijui?
Hawafanyi tafiti zao kwa umakini.Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.
Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Mmmmmmhmn hivi wewe ni mzima na sawa sawa kabisa zimetimia kichwani mwako au zimetimuka kichwani?!Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Huyu mimi nina mashaka nae huyu. Humu mitandaoni tunakaa na vichaa wa akiliHUNA AKILI
Zile pampas za watu wazima kule famasi zimewekwa urembo ee
My friend,Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.
Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Kweli kabisa wanawasingizia tuu wanaume. Sababu kuu inajulikana basi tuu tunajidai kuificha.Siyo kweli, wafanye research aje na sababu halisi na za kweli.
Kwa research ya JF tunajuwa sababu ni nini lakini siyo hiyo anayotaka kutuaminisha huyo Joyce.
Mkuu, hawa watu ni kwenda nao tu taratibu manake ni wakusikitikia sana 😆 😆. Ni sehemu ya wanaozungumziwa kwenye tafitiMmmmmmhmn hivi wewe ni mzima na sawa sawa kabisa zimetimia kichwani mwako au zimetimuka kichwani?!
Sent using Jamii Forums mobile app