Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.

"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu,"amesema Joyce

====

Haya yanajiri baada ya kamati ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kutoa ripoti Septemba 5, 2022 iliyoelezea kuwa mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa uvunjifu wa ndoa nyingi nchini ambapo wastani wa ndoa 300 huvunjika kila mwezi.

Kamati hiyo ilibaini pia kuwepo kwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na ukatili mkubwa wa kijinsia hasa ule unaohusisha watoto.

EATV
ustawi wa jamii huwa nawashangaa sana, ni waongo na hawajui vitu mno. kwamba kweli ndoa zinaachika kwasababu ya kuomba tigo? Noo, nijuavyo, anaume wanaojielewa uwa hawawaingilii kirahisi au hata kuanzisha tu icho kitu kwa " mke wake", wengi hufanya huko kwa michepuko. pia, ukiona mtu anamwingilia mke kinyume na maumbile jua walianza kufanya hivyo tangu wakiwa wachumba hadi wakaoana. hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumwomba tigo mke wa ndoa, labda kama amelewa na hata akiwa amelewa akijirudi kwenye akili zake huwa wanaomba radhi.

kinachovunja ndoa nyingi ni feminism, wanawake kujifanya wapo sawa na wanaume, pia uzinzi na maisha magumu. wanaume wanashindwa kuwatunza wake zao na familia kiasi kwamba wake huwa wanajikuta wamechepuka bila kujipendea na wakizoea ndio dharau zinazidi na siri hizo zikifichuka ndio magomvi yanaingia kwenye familia hadi kuachana. pia, wanaume kufumaniwa au kujulikana na wake zao kuwa wanatembea na michepuko, magonjwa ya zinaa n.k, ndio vyanzo. ila sio kweli kwamba kuombana tigo ndio kiwe kigezo. hakuna mwanaume anayempenda mke wake anayeweza kumwomba tigo, hayupo, na ukiona mwanamke anatoa tigo ujue walianza kabla hawajaoana na wamekuja kuendeleza kwenye ndoa na kwa sababu hiyo mwanamke huyo hana haja ya kulalamika.

kuna demu mmoja aliwahi kunishirikisha hizo tigo kwamba bwanake anamtaka tigo, na yeye hatatoa tigo labda mumewe aweke cruser hapo nje kwamba atamnunulia kama zawadi. nilishangaa kumbe likiwekwa cruser hapo anaweza kutoa tako, na kwasababu hiyo hata kama hatato akwa mumewe mchepuko huko nje ukiweka mzigo hapo anatoa kiurahisi tu. ujinga mtupu.

kitu chengine, watu kama kina joyce kiria na takataka zengine za gender huko, wanaharibu sana akili za wanawake.
 
Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.

Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Umenikumbusha kisa fulani,
It worked to my cousin hadi leo yule Mume hawezi kuchangamana na familia anahisi aibu kubwa na jambo alisingiziwa ila hana pa kusemea, tunaojua ni wachache tunabaki kumuonea huruma tu[emoji1751]
 
Yeye kaolewa na yupo kwenye NDOA, hebu tuanzie hapo. Maana nina wasiwasi na hizi tafiti za kushabikia ndoa kuvunjika au mahusiano kuonekana jehanamu.


Sent using Jamii Forums mobile app
mwanamke anayejitambua, hasa mke, hata ukiweka kidole tu kwenye tigo anasikilizia, unakiingiza au kinasugua tu pale juu, ukiingiza dole mechi inaweza kuishia hapohapo....ila ukigusa tu au kutekenya kwenye tuta hapo ni poa, kwasababu kikawaida, pale kwenye ukuta kati ya O na Vagina, kuna misuli ya hisia kwa wanawake ambayo ukichakata sana huko mbele huku ukitekenya clitoris na occasionally kutekenya pale kwenye tuta, huwa inapelekea wajisikie vizuri, ila sio kuingiza dole hapana huo ni usodoma ni pale juu tu na katikati ya tuta. au mnasemaje wanawake?
 
Siyo kweli, wafanye research aje na sababu halisi na za kweli.

Kwa research ya JF tunajuwa sababu ni nini lakini siyo hiyo anayotaka kutuaminisha huyo Joyce.
Hata mimi siwez kuamini eti sababu ni hyo,baadhi ya wanaume tunatamani huko lakin sio mpaka tunapelekea kuvunja ndoa zetu

Kwanza mkeo huwez fanya hzo mambo maana utaumbuka siku akienda kujifungua manesi watakuona jinga haswa

Ndoa siku hz zinavunjika kirahis sababu ni wanawake kujiona wanaweza pata maisha mazuri zaidi nje ya ndoa kutokana na madanga kumwaga pesa hovyo hasa kwa jiji la dar kuna mamwanaume yanahonga utazan mbususu zimebadilika utamu
 
Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Duuuuuh! Hii sio kweli
 
NAPENDEKEZA KUWEPO NA LIKIZO ZA NDOA MKIKAA MIAKA 3 LIKIZO MIEZI SITA,ITASAIDIA SANA MTU ATAKUTANA NA MADUDU NDANI YA LIKIZO HIYO AKIRUDI ATAKUWA NA HESHIMA KWELI,ASIPORUDI PIA ITAPENDEZA SANA,MAANA NDOA NI HESHIMA ,SIO VIBAYA MTU AKAELEKEA UPANDE ATAKAOUHESHIMU.
 
Naungana na wewe

Kutokana na wanawake kuwa na tamaa na ndoa kuwashinda, wanapokwenda ktk ustawi wanakwenda kusingizia vtu vya uongo

Ni nadra sana mwanaume kumwomba mke wake kufanya kinyume na maumbile..

Hii sababu inaelezwa na wanawake ili kupata huruma ya kuhalalisha kuachana na mumewe.

Afisa ustawi wa jamii amepotosha na anapotumia chombo kikubwa cha habari kusema hivyo anazidi kuharibu

Visingizio visivyo na uthibitisho.

Kimsingi hiyo michezo inaweza kuwa inafanyika lakini sio Kwa kiwango hicho.
Lakini pia Mwanamke akikupenda Hana uwezo WA kukunyima chochote kile. Nini maana ya maana yake, utajaza mwenyewe..
 
Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics

Duh

Wewe waongelea kisayansi

Wenzio wnaa hofu ya MUNGU

Wanaongelea maadili
 
Back
Top Bottom