ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Joyce atakuw kakutana na mtiti wa nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu jihadhari na mawe watakayokurushia wanafikuna kwa hii fact yako hapa😂😂😂😂Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Kabisa, mashirika kibao yamekaa kimikakati tu kutetea jinsi ya Ke ilihali Me hana shirika hata 1 la utetezi wa haki zake.Tatizo jamii imeamua kuwasikiliza wanawake kuliko wanaume na wanaume wameamua kukaa kimya mwanamke anafanya madudu yake anajificha kwenye suala la kuombana mzigo kinyume ili apoteze ushahidi.
Mkkwako ni mchepuko kwa mwingine hivyo kama ni wanaume kuomba kwa michepuko jua kwamba na mkeo anakuwa keshaliwa huko kwa wakeustawi wa jamii huwa nawashangaa sana, ni waongo na hawajui vitu mno. kwamba kweli ndoa zinaachika kwasababu ya kuomba tigo? Noo, nijuavyo, anaume wanaojielewa uwa hawawaingilii kirahisi au hata kuanzisha tu icho kitu kwa " mke wake", wengi hufanya huko kwa michepuko. pia, ukiona mtu anamwingilia mke kinyume na maumbile jua walianza kufanya hivyo tangu wakiwa wachumba hadi wakaoana. hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumwomba tigo mke wa ndoa, labda kama amelewa na hata akiwa amelewa akijirudi kwenye akili zake huwa wanaomba radhi.
kinachovunja ndoa nyingi ni feminism, wanawake kujifanya wapo sawa na wanaume, pia uzinzi na maisha magumu. wanaume wanashindwa kuwatunza wake zao na familia kiasi kwamba wake huwa wanajikuta wamechepuka bila kujipendea na wakizoea ndio dharau zinazidi na siri hizo zikifichuka ndio magomvi yanaingia kwenye familia hadi kuachana. pia, wanaume kufumaniwa au kujulikana na wake zao kuwa wanatembea na michepuko, magonjwa ya zinaa n.k, ndio vyanzo. ila sio kweli kwamba kuombana tigo ndio kiwe kigezo. hakuna mwanaume anayempenda mke wake anayeweza kumwomba tigo, hayupo, na ukiona mwanamke anatoa tigo ujue walianza kabla hawajaoana na wamekuja kuendeleza kwenye ndoa na kwa sababu hiyo mwanamke huyo hana haja ya kulalamika.
kuna demu mmoja aliwahi kunishirikisha hizo tigo kwamba bwanake anamtaka tigo, na yeye hatatoa tigo labda mumewe aweke cruser hapo nje kwamba atamnunulia kama zawadi. nilishangaa kumbe likiwekwa cruser hapo anaweza kutoa tako, na kwasababu hiyo hata kama hatato akwa mumewe mchepuko huko nje ukiweka mzigo hapo anatoa kiurahisi tu. ujinga mtupu.
kitu chengine, watu kama kina joyce kiria na takataka zengine za gender huko, wanaharibu sana akili za wanawake.
Hi sasa ndio inatakiwa kuwa koment ya jibu Hilo na ingebakia hapo hapo tuijadili na siyo blah bhlas aliyoyaongea huyo afsaAngesema Wanawake husingizia sababu hiyo.
Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Yaaani Ni ngumu mno kuelewekaTena inakuwa aibu kubwa sana,na mwanaume unakuwa huna cha kujitetea
Nakuunga mkono mkuuSiyo kweli, wafanye research aje na sababu halisi na za kweli.
Kwa research ya JF tunajuwa sababu ni nini lakini siyo hiyo anayotaka kutuaminisha huyo Joyce.
Walio like koment yako Ni wafiraji wote[emoji6]Mfumo wa kielimu wa kizuzu unatuletea wataalamu mazuzu, huyu social officer atupe takwimu za utafiti wake!,scientists wame prove kuwa anal sex sio tatizo kabisa as far as wahusika wanakubaliana,na anal sex haiathiri kabisa wakati wa kujifungua, kuna nchi hapo SADC hii kitu ni ya kawaida na akina mama wanazaa watoto wenye afya njema na wazuri!,science ijibiwe na science sio mihemiko au politics
Nimeogopa San maanke hata braza angu mmoja nae alikimbiwa na mke akaaenda kumtangaza kuwa jamaa alikuwa anamuomba nyumaa jmn wanawake siyo POA kbsaaUtafiti wake unakosa kitu kimoja,Wanawake wengi wakitaka kuvunja ndoa zao wanasingizia kwamba wameombwa unyumba huko kwenye hio njia.Hii nimeshuhdia kwa watu wangu wa karibu.Unakuta mwanamke anatafuta kisa ambacho shahidi atakuwa ni yeye mwenyewe na anajua akisema tu hivyo anakuwa amekufedhehesha so unajikuta huna namna zaidi ya kukosa nguvu.
Wee jamaa unetoaa Siri kwa wapenda tigo jmn wadada watakoma watawekewaa San vidole kweny kuta hapomwanamke anayejitambua, hasa mke, hata ukiweka kidole tu kwenye tigo anasikilizia, unakiingiza au kinasugua tu pale juu, ukiingiza dole mechi inaweza kuishia hapohapo....ila ukigusa tu au kutekenya kwenye tuta hapo ni poa, kwasababu kikawaida, pale kwenye ukuta kati ya O na Vagina, kuna misuli ya hisia kwa wanawake ambayo ukichakata sana huko mbele huku ukitekenya clitoris na occasionally kutekenya pale kwenye tuta, huwa inapelekea wajisikie vizuri, ila sio kuingiza dole hapana huo ni usodoma ni pale juu tu na katikati ya tuta. au mnasemaje wanawake?
Hili chapissho lipelekwe huko eatv na aest Africa redioKWA ASILI MWANAMKE ANA TUMIA MANENO MAKALI KUMUUMIZA MWENZIE
1.KIBAMIA
2.KINYUME NA MAUMBILE
3.HAMRIDHISHI
4. ANA MCHEPUKO
KAWAIDA UJASIRI WAO UKO MDOMONI, UDHAIFU UKO MOYONI.
NDIO MWANZO WA SAFARI ZILE ZA KUSHTUKIZA KWENYE MAKANISA YA MANABII NA MITUME, KUITAFUTA MIUJIZA NA UPAKO. NA HII NI BAADA YA DAWA ZA WAGANGA WA KIENYEJI KUSHINDWA.
NDOA ZINAKUFA KWA SBB:
1.JEURI
2.KIBURI
3.DHARAU
Tao aisew mnk wee ulichochea na kusema sadd Kuna nch inaruhusu ufirauniIam withdrawing my comment naona imeleta mkaranganyiko mkubwa!
Unabaki umekodoa macho yaanii huyuu!! Na ukioa tena mkeo akidumu ndugu wanapigia mstari mke mpya michezo anaimudu 😂Wadada wakitaka kukinukisha na kuvunja ndoa hawatumii nguvu
Anatoa lalamiko tu ukweni "nalazimishwa kuingiliwa kinyume na maumbile"
Na ndoa inavunjwa chap
Ukiuguza mgonjwa mahututi utajua kazi yake.HUNA AKILI
Zile pampas za watu wazima kule famasi zimewekwa urembo ee
Akipimwa akionekana malinda hakunaa?? Vitu vingine unaviacha viendeYaani unakuwa mpole kama fala fulani hivi! Daktari hawezi kupima ukweli ukajulikana?