Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Ndugu jihadhari na mawe watakayokurushia wanafikuna kwa hii fact yako hapa😂😂😂😂
 
Tatizo jamii imeamua kuwasikiliza wanawake kuliko wanaume na wanaume wameamua kukaa kimya mwanamke anafanya madudu yake anajificha kwenye suala la kuombana mzigo kinyume ili apoteze ushahidi.
Kabisa, mashirika kibao yamekaa kimikakati tu kutetea jinsi ya Ke ilihali Me hana shirika hata 1 la utetezi wa haki zake.
 
Mkkwako ni mchepuko kwa mwingine hivyo kama ni wanaume kuomba kwa michepuko jua kwamba na mkeo anakuwa keshaliwa huko kwa wake
 
Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.

Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Hi sasa ndio inatakiwa kuwa koment ya jibu Hilo na ingebakia hapo hapo tuijadili na siyo blah bhlas aliyoyaongea huyo afsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Walio like koment yako Ni wafiraji wote[emoji6]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimeogopa San maanke hata braza angu mmoja nae alikimbiwa na mke akaaenda kumtangaza kuwa jamaa alikuwa anamuomba nyumaa jmn wanawake siyo POA kbsaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama ndo msomi anatishia uhai wa elimu

Mi darasa la nne nachoona ni wanandoa wengi kwa sasa sio waaminifu katika ndoa zao

Michepuko ming na ndio hata mauaji kwa sasa ni mengi ya wivu wa kimapenzi

Arudie utafit wake la sivyo ajiunge la sita yetu
 
Wee jamaa unetoaa Siri kwa wapenda tigo jmn wadada watakoma watawekewaa San vidole kweny kuta hapo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hili chapissho lipelekwe huko eatv na aest Africa redio

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…