Toka mwanzo walisema ni siku 7.Kutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwa nini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo keangu lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini ludewa ndio mtakuja kwangu lushoto,nikifika kudewa nitakuta mmeshapita,hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe
NimeshahesabiwaThese are going to cook data. hawatampata mtu kuanzia kesho, tumepoteza muda kuwasubiri imetoka hiyo .. rubbish! johnthebaptist
hapa mtaa mzima bado na sehemu nyingi Tanzania wahesabuji hawakuonelkanaNimeshahesabiwa
Kuweni Wavumilivuhapa mtaa mzima bado na sehemu nyingi Tanzania wahesabuji hawakuonelkana
Hata mimi na majirani zangu bado.Kutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwa nini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo keangu lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini ludewa ndio mtakuja kwangu lushoto,nikifika kudewa nitakuta mmeshapita,hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe
Yaani wameniudhi mimi, nilikuwa na mishe zangu za ufundi bomba mteja kanipigia nikamtolea njeKutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwa nini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo keangu lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini ludewa ndio mtakuja kwangu lushoto,nikifika kudewa nitakuta mmeshapita,hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe
Tatizo dodoso refu sana wangeweza kumaluza keo ,nani atakariri kuwa tarehe 23 alilala wapi,wengine walilala njiani wanatafuta maishaSensa ni ama mahali unaposhinda wakati wote (hii kufanyika nchi zilizoendelea)
Au Sensa ni mahali ulipolala usiku wa kuamkia tarehe 23 Agusti, 2022. Hii ni sensa ya nchi zinazoendelea
Kwahiyo, we chunga tu tarehe 23 Agusti ulipoamkia hata wakija siku ya 7 majibu ni yale yale
Kuna mapungufu mengi, leo asubuhi nimefikiwa na karani kuhesabiwa saa 3:53, saa 5:27 nikapokea mgeni aliyetoka safari Kigoma wakati karani ameshaondoka, nikajiuliza, huyu ni mgeni mmoja, je kuna watu wangapi wako safarini na huko waendako watafika wenyeji wao wameshahesabiwa, je ni watu wangapi wameamkia kwenye hotels, lodgings na guest houses wataingiaje kwenye takwimu?Kutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwa nini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo keangu lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini ludewa ndio mtakuja kwangu lushoto,nikifika kudewa nitakuta mmeshapita,hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe
Kwa walioko safarini ikiwa walilala nyumba za wageni au kituo cha bus, ilipaswa karani apite usiku kuwahesabu na wangepewa beji maalum yakuonesha kuwa wamehesabiwa (dodoso lao ni maalum) Kama alilala nyumbani, basi hapo alipolala wanapaswa kutoa taarifa zake.Kuna mapungufu mengi, leo asubuhi nimefikiwa na karani kuhesabiwa saa 3:53, saa 5:27 nikapokea mgeni aliyetoka safari Kigoma wakati karani ameshaondoka, nikajiuliza, huyu ni mgeni mmoja, je kuna watu wangapi wako safarini na huko waendako watafika wenyeji wao wameshahesabiwa, je ni watu wangapi wameamkia kwenye hotels, lodgings na guest houses wataingiaje kwenye takwimu?
Mzee wewe mgumu kuelewaKuna mapungufu mengi, leo asubuhi nimefikiwa na karani kuhesabiwa saa 3:53, saa 5:27 nikapokea mgeni aliyetoka safari Kigoma wakati karani ameshaondoka, nikajiuliza, huyu ni mgeni mmoja, je kuna watu wangapi wako safarini na huko waendako watafika wenyeji wao wameshahesabiwa, je ni watu wangapi wameamkia kwenye hotels, lodgings na guest houses wataingiaje kwenye takwimu?
Yaani kwa maisha haya nani atakaririAacha utoto, kinachohesabika ni tarehe ya 23/8/2022 hata karani akifika kwako mwezi wa 10 atakuuliza waliolala kwako siku ya 23/08/2022
Huyu aliyefika kwangu saa 5 hajakutana na karani popote, in other words wamesafiri usiku kuchaKwa walioko safarini ikiwa walilala nyumba za wageni au kituo cha bus, ilipaswa karani apite usiku kuwahesabu na wangepewa beji maalum yakuonesha kuwa wamehesabiwa (dodoso lao ni maalum) Kama alilala nyumbani, basi hapo alipolala wanapaswa kutoa taarifa zake.
How