Makinika, kumiliki smartphone bila kudownload BIBLIA ndani yake, ni ushamba mkuu!!

Makinika, kumiliki smartphone bila kudownload BIBLIA ndani yake, ni ushamba mkuu!!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam ,Shalom!!

Umeshawahi kujiuliza nini kinaweza kukutokea ikiwa utajifunga kitambaa cheusi machoni na kutembea barabara ya mwendokasi?

Katika nyakati hizi tunazoishi, simu ya mikononi inachukua muda, nafasi kubwa sana katika maisha ya Kila siku, ni device ambayo muda wote uko nayo, sisemi kuwa na BIBLIA kwenye simu Yako ni mbadala wa kuwa na BIBLIA halisi, la hasha, ninachokiongelea ni umuhimu wa kuwa na NENO la Mungu Kwa ukaribu zaidi kulingana na mazingira ya sasa.

(Zaburi 119:105) Says:
NENO la Mungu ni taa ya miguu yangu,na mwanga wa njia yangu.

Stuka mapema, download neno la Mungu ndani ya simu Yako, na jiwekee Utaratibu wa kusoma angalau page Moja au chapter Moja Kwa siku au zaidi ya hapo.

ANGALIZO: Ujumbe huu ni special Kwa Wana wa Mungu,WANADAMU halisi wenye asili Toka juu.

Mungu awabariki nyote.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala ifuatayo;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
 
Na ukidownload BIBLIA Kwa simu Yako, automatically utafutanpicha chafu ikiwa ulikuwa nazo Kwa kuwa Giza na Nuru, havichangamani.
 
We mbaguzi, mbona hujazungumzia waislamu na Quran..kwa taarifa yako wewe ndio mshamba. Kwenye suala la imani huwezi kuwapangia watanzania milioni 60 cha kufanya kuhusu imani zao...kwamba watanzania milioni 60 wawe na app ya biblia kwenye simu zao..rubbish.
 
Siku moja nimepanda mwendokasi, naona dada anasoma Bible yake, mtu wa hivi nahisi ni mtu mwema tu yani. Mbezi hadi Posta mtu anasoma tu Bible yake...

..sisi wengine tulishakata kamba mda, Bible zipo ila zipo kwenye "sleeping mode"
 
Hili la wasabato kutumia Biblia za kwenye simu siku ya Ibada naona limewatoa kwenye reli.
Je kama mtu anaangalia mambo yake binafsi je? Wakati wa Ibada.
Sahihi ni kutumia kitabu cha Biblia.
 
Sio kweli mkuu jaribu kusoma na vitabu vingine uongeze maarifa
(Mithali 1:7)

Kumcha BWANA ni chanzo Cha Maarifa, HEKIMA,na ufahamu,

Nikuulize swali,

Mungu alipoumba mbingu na Nchi, alisomea vitabu Gani kumpa Maarifa juu ya KAZI nzuri iliyotukuka aliyoifanya?

Ndipo utajua kuwa, ndani ya BIBLIA Kuna neno la Mungu ambalo limesheheninkila kitu unaxhokihitaji.

Vitabu vingine ni kama tu nyongeza.
 
Screenshot_20240805-111442_XOS Launcher.jpg

Asante mleta mada.
 
(Mithali 1:7)

Kumcha BWANA ni chanzo Cha Maarifa, HEKIMA,na ufahamu,

Nikuulize swali,

Mungu alipoumba mbingu na Nchi, alisomea vitabu Gani kumpa Maarifa juu ya KAZI nzuri iliyotukuka aliyoifanya?

Ndipo utajua kuwa, ndani ya BIBLIA Kuna neno la Mungu ambalo limesheheninkila kitu unaxhokihitaji.

Vitabu vingine ni kama tu nyongeza.
Hayo yote umeyesoma kwenye Bible je waandishi wengine wa vitabu wanamaoni gani kuhusu hayo?
 
Kuwa nayo ni vizuri, kuisoma pia ni kipengele kingine.
 
Utaamini vipi ipi ni Biblia sahihi online maana upotoshi ni mwingi sana zama hizi
Hili ni swali muhimu.

Nunua BIBLIA halisi uwe nayo home, ndipo download kwenye simu na linganisha ikiwa kilichomo kwenye simu ndicho ulichonachonktk uhalisia.

Union Version published bibles ziko poa, King James bible ni nzuri pia.

Pata msaada pia Kwa watumishi wa Mungu Kwa maelekezo zaidi.
 
Kuwa nayo ni vizuri, kuisoma pia ni kipengele kingine.
Ninakuombea upate nguvu na uwezo wa kuisoma na kuielewa ikiwa unayo kwenye simu.

Kusoma BIBLIA ni kutafuta kuzijua Siri za Mungu , kusoma BIBLIA ni kuongea na Mungu live in spirit, Si jambo Rahisi.

Download Kisha omba, Mungu akusaidie upate shauku ya kuisoma na codes zifunguke.

Ubarikiwe 🙏
 
Salaam ,Shalom!!

Umeshawahi kujiuliza nini kinaweza kukutokea ikiwa utajifunga kitambaa cheusi machoni na kutembea barabara ya mwendokasi?

Katika nyakati hizi tunazoishi, simu ya mikononi inachukua muda, nafasi kubwa sana katika maisha ya Kila siku, ni device ambayo muda wote uko nayo, sisemi kuwa na BIBLIA kwenye simu Yako ni mbadala wa kuwa na BIBLIA halisi, la hasha, ninachokiongelea ni umuhimu wa kuwa na NENO la Mungu Kwa ukaribu zaidi kulingana na mazingira ya sasa.

(Zaburi 119:105) Says:
NENO la Mungu ni taa ya miguu yangu,na mwanga wa njia yangu.

Stuka mapema, download neno la Mungu ndani ya simu Yako, na jiwekee Utaratibu wa kusoma angalau page Moja au chapter Moja Kwa siku au zaidi ya hapo.

ANGALIZO: Ujumbe huu ni special Kwa Wana wa Mungu,WANADAMU halisi wenye asili Toka juu.

Mungu awabariki nyote.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala ifuatayo;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Kijana unaanza kuchanganyikiwa Sasa.

Unapangia vipi watu matumizi ya SIM zao
 
Back
Top Bottom