Makinika, kumiliki smartphone bila kudownload BIBLIA ndani yake, ni ushamba mkuu!!

Makinika, kumiliki smartphone bila kudownload BIBLIA ndani yake, ni ushamba mkuu!!

Hayo yote umeyesoma kwenye Bible je waandishi wengine wa vitabu wanamaoni gani kuhusu hayo?
Maoni ya waandishi wengine wakija watatoa maoni Yao.

Muhimu ni kustuka sasa na kudownload neno la Mungu, na kulisoma Ili usiwe mshamba!!
 
Kijana unaanza kuchanganyikiwa Sasa.

Unapangia vipi watu matumizi ya SIM zao
Nimewashauri na kuwastua kuwa kutokuwa na bible kwenye smartphone Yako ni ushamba mkuu,

Sasa ni uamuzi wao waendelee kuwa washamva au wakubali Elimu mpya yenye thamani Kwa Roho zao.

Vipi wewe unayo Bible kwenye smartphone Yako?
 
We mbaguzi, mbona hujazungumzia waislamu na Quran..kwa taarifa yako wewe ndio mshamba. Kwenye suala la imani huwezi kuwapangia watanzania milioni 60 cha kufanya kuhusu imani zao...kwamba watanzania milioni 60 wawe na app ya biblia kwenye simu zao..rubbish.
Usikurupuke,

Nimeweka angalizo hapo juu kuwa,

Ujumbe huu ni special Kwa Wana wa Mungu, WANADAMU wenye asili Toka juu Si chini.

Sijui umeelewa ndugu?
 
Biblia ndio kitabu maarufu kuliko kitabu kingine chochote duniani.
BIBLIA/ Neno la Mungu,limesheheni Maarifa yote ambayo ni muhimu Kwa mwanadamu,

Intelligence,siasa, mavumbuzi, Kweli, HAKI, ustaarabu, unyenyekevu, HEKIMA, Elimu Bora nk nk vyote vimo ndani ya BIBLIA.

Wanajeshi wa Israel wawapo vitani, lazima wabebe BIBLIA.

Mungu akubariki.
 
Kwahiyo sisi wengine siyo Wanadamu halisi?
Soma thread isemayo;

Wajue mapepo katika form ya wanadamu- Rabbon.

Humo utajua kuwa Si wote uwaonao duniani ni watu, wengine ni mashetani yaliyovaa mwili wa mwanadamu.

Sasa ikiwa hupendi Wala hutaki kusikia kuhusu Mungu, pima DNA ujue ikiwa u mtu , mwanadamu original au la!!
 
Rabbon Wewe Umebarikiwa Sana

Mimi nasomaga Bible nilikua nasoma hivi vitabu
-Walawi 15:8
-Yohana 9:6
-Marko 8:23
-Marko 7:33
 
Simu yangu bado mtu anatokea huko ushilombo anakuja kunipangia chakufanya!?wapangie familia yako👹👹
 
Rabbon Wewe Umebarikiwa Sana

Mimi nasomaga Bible nilikua nasoma hivi vitabu
-Walawi 15:8
-Yohana 9:6
-Marko 8:23
-Marko 7:33
Ubarikiwe mwana wa Mungu.

Asomaye BIBLIA anakuwa mtu wa tofauti kabisa, ni tegemeo na kimbilionkwa wote wanaokuzunguka maana Mungu anakaa ndani Yako kukuongoza.

Amen
 
Rabbon Wewe Umebarikiwa Sana

Mimi nasomaga Bible nilikua nasoma hivi vitabu
-Walawi 15:8
-Yohana 9:6
-Marko 8:23
-Marko 7:33
Hivi kuna namna ukibadilisha simu na una baadhi ya mistari ya Biblia uli'highlight ukaweza kuiona tena?

Maana hii kwangu imekuwa changamoto...
 
Siku moja nimepanda mwendokasi, naona dada anasoma Bible yake, mtu wa hivi nahisi ni mtu mwema tu yani. Mbezi hadi Posta mtu anasoma tu Bible yake...

..sisi wengine tulishakata kamba mda, Bible zipo ila zipo kwenye "sleeping mode"
Unaweza hata wewe kuwa hivyo,

Na ukianza tu kuisoma, automatically TABIA chafu na addiction za kijinga , tamaa mbalimbali zitakuacha!!
 
Hongera kwa kuwa Chakula ya mwamposa
Mwamposa hajatajwa popote katika BIBLIA.

Ukisoma BIBLIA utajua kuwa uponyaji umo ndani Yako, hutohangaika na mafuta na maji ya matapeli.

Jikite kwenye mada, u download BIBLIA Ili kuepuka ushamba!!
 
Hili la wasabato kutumia Biblia za kwenye simu siku ya Ibada naona limewatoa kwenye reli.
Je kama mtu anaangalia mambo yake binafsi je? Wakati wa Ibada.
Sahihi ni kutumia kitabu cha Biblia.
Muda wa Ibada ni muhimu kutumia bible hard copy,

Ukiwa kazini au katika shughuli binafsi, ukipata muda kutumia smart phone katika KAZI zingine, muhimu kuwa na BIBLIA downloaded Ili kupata muda zaidi kusoma neno.
 
Hivi kuna namna ukibadilisha simu na una baadhi ya mistari ya Biblia uli'highlight ukaweza kuiona tena?

Maana hii kwangu imekuwa changamoto...
Nadhan labda kama ulingiza e-mail yako kwenye hiyo Bible app, So uki'ingiza tena e-mail kwenye App ingine ndo ilete na taarifa zilee

Me natumiaga tu Notepad app ya simu husika kuhifadhi mistari (copy and paste)
 
Back
Top Bottom