Makinika, kumiliki smartphone bila kudownload BIBLIA ndani yake, ni ushamba mkuu!!

Amen.
 
Nimewashauri na kuwastua kuwa kutokuwa na bible kwenye smartphone Yako ni ushamba mkuu,

Sasa ni uamuzi wao waendelee kuwa washamva au wakubali Elimu mpya yenye thamani Kwa Roho zao.

Vipi wewe unayo Bible kwenye smartphone Yako?
Bible ni kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…