Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna kitu wabunge wa Ccm hawashangilii??Upendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Cc johnthebaptistSaccos ya gaidi wamenuna ndugai kuwa bungeni
Kejeli...Upendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Wewe ni mpumbavu na hatuna wa kukufananishab naye. Mageuzi ya kisiasa yanaweza kuletwa hata na keep kikundi chochote au mtu yeyote peke yake! Unajua mageuzi yaliyosababisha kuondolewa kwa Rais wa Tunisia yalianzishwa mmachinga mmoja mmoja tu!!! Kama huelewi uliza Chiluba alimng'oa Kaunda na chama cha siasa???
Upendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Upendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Kwa nini asikanyage Bungeni wakati yeye ni Mbunge?Mimi ningemuona shujaa Kama asingekanyaga bungeni. Ila kitendo Cha kukanyaga bungeni Ni ishara kuwa ana njaa Sana na anoagopa kufukuzwa bungeni.
Aliekubali katiba ivunjwe ili bwana yule aongoze milele?Shujaa wa Tanganyika ndani ya nyumba!!
UunafikiUpendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?