Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Wabunge wote ni wanafiki Sana!Unafiki ni sifa inayo ambatana na tabia za kufata mkumbo na kutokuwa na msimamo kwa hiyo usishangae sana watu kupigiwa makofi au kusifiwa na watu walio waponda sana!View attachment 2186105
Nina miss Bwege bungeniHilo bunge alisema bwege ni la "mmeshiba ndio, mnanjaa ndio"!
Saccos ipi ww pimbi!
Atake asitake lazima tumwongezee muda! Ndugai fala Sana!Of course sifa kubwa ya kuwa CCM ni UNAFIKI. Kwa wabunge waliopo CCM kwa sasa sidhani kama waliompigia makofi ya upendo wanafika hata 10. Kwa haiba ya Job Ndugai atakuwa alikwisha wakwaza wabunge wengi sana hata kwenye CCM.
Yale makofi ni kumkaribisha benchi ili alione bunge kwa mtazamo tofauti baada ya kuhudumu kama NaibuSpika na Spika kamili kwa miaka 11 huku akiwa anajigamba kama mtu ambaye hawezi kufanywa lolote kwenye ule mhimili.
Kiukweli tumshukuru Mungu wetu kwa namna alivyoweza kumnyamazisha Magufuli na vibaraka wake waliokuwa wanamuabudu na kutaka kumfanya Rais wa milele wa Tanzania
unafiki na uzandikiUpendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Saccos ya nyumbu changia mwenyekiti we pimbi.Saccos ipi ww pimbi!
Gaidi ni gaidi tuBado upo kwenye single ya ugaidi. Mbona ilishachuja
Alikuww anapitia mulemule Lissu alipitiaMimi ningemuona shujaa Kama asingekanyaga bungeni. Ila kitendo Cha kukanyaga bungeni Ni ishara kuwa ana njaa Sana na anoagopa kufukuzwa bungeni.
Kuna kitu kinafukuta chini ya mkeka, nionavyo, kuna wengi wanaafiki alichosemaUpendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?
Yeye mwenyewe Ndungai alipata kusema "kuna wabunge huwa wanapiga makofi bila kujua wanapigia nini" ...huenda hata hapo wanapiga makofi hawajui kama yupo humo ndaniπ€£Kwani huwajui wabunge wa CCM? Wenyewe hupiga makofi kwenye vitu vya kijingakijinga tu,kama watoto vile
Huyu zitto itakuwa kuna 'makamanda' fulani aliwapa cha kati, xi kwa kumwandama na kumchukia huku!Unafiki ni sifa inayo ambatana na tabia za kufata mkumbo na kutokuwa na msimamo kwa hiyo usishangae sana watu kupigiwa makofi au kusifiwa na watu walio waponda sana!View attachment 2186105
Amini nakwambia. Ikipigwa kura ya kutokuwa na imani na Ndugai. 100% watasema hawana imani nae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
pension hakuna, yeye kafurushwa kazi ya uspika, ataambulia ile ya ubunge ndio maana amerudi mjengoni. vigezo na masharti vya kuwa spika mstaafu havijatimia. wajuzi watasemaHivi unaelewa Pensheni anayovuta kama Spika Mstaafu?
Wewe tafuta Riziki yako,mambo mengine unayapita tu.
Huyo jamaa hayuko kundi la walala hoi kwa maisha yake yote.
ShujaaUpendo? Uzalendo? Ushujaa, mwana mpotevu, au nini?