4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
kwahiyo Ukraine anaemkabili Urusi ni taifa kubwa kuliko yote dunian?Lazima watafute mlango wa kutokea! Kukabiliana na Urusi ana kwa ana siyo habari ndogo!! Wataishia kulaani tu na kutoa onyo na vitisho basi! Urusi siyo Iraq!!