Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Wewe ni mnufaika bila shaka,,
Kausha damu 🤣
 
Though mleta uzi umeleta kimihemko zaidi, ila siafikiani na aina ya uongozi kama wa Makonda.
Kama hujafikiwa leo basi kesho inaweza kua zamu yako, uwe na kosa ama usiwe nalo utatupwa lupango na kuharibu mipango yako bila sababu yoyote ya msingi.
 
Mkuu,
Nahisi huyo jamaa wa SACCOS ni ndugu yako. Umekuja kupima humu upepo wa hiyo kesi ili ujue moja mbili tatu za kumnasua
 
View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Hata kama Hauna akili.


Ukope million 3, uuze nyumba ya mtu kisa marejesho yake yamesuasua??.



Mjinga Mmoja wewe
 
Arusha hakuna watu wa akili za hovyo kama nyie, jichange ujenge nyingine, hao wanunuzi ni bonafide purchasers under the Sale of Goods Act, kenge nyie, mnatamba mitandaoni na makonyagi na nyama choma kumbe mnakula marejesho
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimelipenda hilo neno, wanakula marejesho
 
View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Bila huyo Jamaa kutimuliwa atavuruga Kila kitu kama role model wake.Sijui wanamng'ang'ania wa nini.
 
View attachment 2985167
Jamaa ni tapeli sana aka con man.
Hao hao wananchi anaojionesha kuwapigania anawajaza upepo alafu baadae anakimbilia Gran Melia Hotel kusikilizia na lile li landrover lake!
Kwa wasiomfahamu vizuri... Hakuna alichowahi kuanzisha kikafikia mwisho mzuri!
Mnafiki mkubwa wewe

Aliishinda vita ya Dawa za Kulevya.

Watu wakapata haki zao akiwa Mwenezi tu.


Wanaendelea kupata haki zao akiwa RC.


Dar ilikua Safi

Unakuja kuleta Mnduku wako hapa.
 
Wewe mjinga sana! Makonda anasaidia maskini waliokosa mtetezi.
Wewe na utendaji wako serikalini unalamba asali kwenye miundo mbinu.ya Barabara. Unawasaidiaje wanyonge.
Maskini na Kushindwa kulipa Madeni wapi na wapi?

Maskini ndio wanaleta maendeleo ya Nchi?

Toa upunguani wako,kama umeshindwa kulipa deni nyumba itapogwa mnada hukulazimishwa kukopa,dawa ya deni ni kulipa sio Makonda.

Huyo mjinga mwenzako adhibitiwe atavuruga biashara ambayo ilikuwa imeanza kurudi kwenye mstari.
 
Hata kama ndio umuuzie nyumba kisa deni la millions 3........wakati nyumba yake ina thamani ya million 50...........usimuonee kwa kuwa kakopa... . Mbona wale watu waliokopa takribani bilioni 800 na wakaenda mpaka mahakamani na wakawashinda kesi mbona hamkuuza hata vijiko vyao vya chai ?? Huonevu huo
Kama hiyo nyumba ilikuwa ndio dhamana na aliiweka mwenyewe kwa nini isipigwe bei endapo hakutimiza masharti ya mkopo? Hivi sio kwamba wanachukua chao na balance anapewa mwenye mali? Kama ndio, basi bwana huyo ana milioni 47. Kwa nini hakuenda mahakamani?
 
Mjinga Mmoja weee , Dunia imebadilika, tunaelekea kwenye mapinduzi ya Utaifa ambayo kila Kiongozi Makini lazima atangulize masilahi ya Raia wake kwanza.


Unaleta vichuki vya kitahira tahira Kwa Makonda ,

Mpumbavu Mmoja wee
Maslahi ya Taifa ndio ya kudhulumu na kupora Haki ya wengine Kwa Kisingizio Cha maskini? Punguani.

Yaani mtu atafute pesa mwenyewe afu uje upore ugawie hao.unaita maskini?
 
umeongea kitoto sana, yaani kama mtu wa miaka 15 usiye elewa maisha ni nini

sema umejaliwa kujua kusoma na kuandika ila akili ya kuchambua mambo naomba nikwambie hauna hata kidogo
Hao ndiyo wale Vijana wetu wanao amini kua gari ni utajiri na si kitendea kazi! Tuna kazi kubwa sana ya kubadilisha mindset zao!!
 
View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Kama fedha ni zetu mbona tunakopa kwa riba kubwa?ukishindwa kulipa labda tu ya sababu za kiuchumi mali zako zinafilisiwa
 
Back
Top Bottom