Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Yule aliyefoji PhD kama JPM?Babu Tale naye kasema anawindwa na Watu Wawili 😄
RIP Ben Sanane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule aliyefoji PhD kama JPM?Babu Tale naye kasema anawindwa na Watu Wawili 😄
Kuna tofauti kubwa kati ya Private company na Public company,Wakati private unaweza kufanya na kutenda unavyotaka alimradi huvunji Sheria,Public company unafanya Sheria inavyotaka,vision na mission ya kampuni,malengo na msimamo wa kampuni,matendo mema ya kampuni ya umma yanalindwa ,kule Kampuni. . ilikokovurunda uchunguzi ufanyike ndani kwa ndani,bila hivyo inaweza kuwa umekalia tawi na unalikata tawi hilohilo matokeo yake wewe na tawi ukadondoka.Badala atoe taarifa ktk vyombo vya usalama yeye anatoa taarifa ktk vyombo vya habari
Hizo zitakuwa ramli chonganishi
good analysisKuna tofauti kubwa kati ya Private company na Public company,Wakati private unaweza kufanya na kutenda unavyotaka alimradi huvunji Sheria,Public company unafanya Sheria inavyotaka,vision na mission ya kampuni,malengo na msimamo ya kampuni,matendo mema ya kampuni ya umma yanalindwa ,kule Kampuni ilikovurunda marekebisho hufanyika ndani kwa ndani,bila hivyo inaweza kuwa umekalia tawi na tawi hilohilo unalikata matokeo yake wewe na tawi ukadondoka.
Ameibana mbavu arusha, CHADEMA HAIPO TENA ARUSHA!Makonda anafikiri watu wote ni wapumbavu kama yeye.
Akili matope hizo. Mnabanana mbavu wenyewe huko CCM Chadema haina muda mchafu na huyo mpuuzi.Ameibana mbavu arusha, CHADEMA HAIPO TENA ARUSHA!
Nayeye awawinde tu hakuna namnaMkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Jamaa sio mpumbavu maana ingekuwa hivyo asingekuwa anateuliwa teuliwa kwenye maulaji kila mara 👁🤠🤠Makonda anafikiri watu wote ni wapumbavu kama yeye.
Arusha ni lazima mpoteane mazima, anafanya kazi kwa vitendo!, anagusa Jamii za chini, wananchi tunachoidai serekali ni huduma nzuri tu, wanasiasa tumewachoka kwa uongo wao na tunasema sasa basi kwa "" ""chadema ongo ongo! "" maneno mingiii!Akili matope hizo. Mnabanana mbavu wenyewe huko CCM Chadema haina muda mchafu na huyo mpuuzi.
Huu ndo upuuzi wa Makonda.😄😄😄 yaani hata alivyopata uhamasishaji chipukizi UVCCM akaibuka na sakata la Mzee Warioba.. yaani jamaa haishiwi content. Sema alivyokuwa DC Kinondoni alikuwa mtu poa sana. Kwa wakazi wa Kinondoni wanaweza kuwa mashuhuda wa hili. Kazi alikua anapiga bila hata makamera.Hata mkimpa nafasi ya mwenyekiti wa mtaa atawafunika hadi mawaziri
Na Indira Gandhi pia na mwanae aliekuja kuwa PMSahihi kabisa.Anwar Saadat aliuawa katikati ya msitu wa wanajeshi.
Hiyo sanaa yake ya majukwaani haimsaidii chochote zaidi ya kujichanganya tu. Chadema hawaongozi mtaa,kata wala jimbo lolote,mapungufu yote yanayoibuliwa yanaonyesha mapungufu ya CCM yenyewe sasa inaathiri vipi Chadema? Unaongea kama umekatwa kichwa. Hiyo ni vita yenu wenyewe maccm.Arusha ni lazima mpoteane mazima, anafanya kazi kwa vitendo!, anagusa Jamii za chini, wananchi tunachoidai serekali ni huduma nzuri tu, wanasiasa tumewachoka kwa uongo wao na tunasema sasa basi kwa "" ""chadema ongo ongo! "" maneno mingiii!
Apasuliwe kabisaMimi nasema apigwe tu hakuna jinsi nyingine
MunguBariki Lawama akikosekana kwenye watu 8 mniite asha dMkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Wanataka kumnyamanzisha ama!!