Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Apewe ulinzi majambazi wastaafu sio ndio wanaishi Arusha!
 
Makonda alisema pia akiwa hapo ofisi ya mkoa (Arusha) akikupa huo ukuu wa mkoa kwa anavyowindwa utaurudisha kesho yake.
So his allegations shouldn't be taken lightly.
 
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Kwa hiyo na yeye anaogopa kuwindwa pamoja na kuombewa kote kule?Atulie.Aache uoga.
 
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
🤣 🤣 🤣
 
Utawala huu hautaki mtu anaehoji upigaji wa fedha za umma!

Na hii ndio DNA ya chama changu iliomea na kukita mizizi ndani ya CCM!!

Ccm sio chama Tena Cha wakulima na wafanyakazi kama zamani Bali Cha wapiga dili na mafisadi!!

Anaetaka kuondoa Hali hiyo anatishiwa maisha coz hawataki asali izuiwe kutiririka!

Mungu kibariki chama changu CCM kiondoe ubadhirifu ndani ya chama!
 
Back
Top Bottom