Lkn huwa hawana ujanja wa kuishi nje ya upigaji,hata biashara zao ufa mfumo ukiwatupa. Check mabus ya buffalo, mabus ya scandinavian, nk. Huwezi endesha biashara kwa kutegemea uporaji.Jama wamepiga sn pesa za umma
Mwenzake Sabaya ananyea debe.Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
ukweli wanamuogopa vibaya sn ingekuwa wewe sahivi ungekuwa Ukonga kitambo sn
Kwann wamlie timing,mbona zumarid wamebeba juu kwa juu tena bila hata utaratibu.Hizi si dabo standard?
CHAUMANi mwanasiasa gani asiyetafuna pesa a walipa Kodi?
Makonda hataguswa sababu ya mahaba ya mama kwake, chunguza historia ya mahusiano yao yenye utataMakonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Atatapika tu.Dhuluma mbayaKwan anayemiliki eneo n nan?? Kama hati n ya konda boy bas Gsm watulie walimsaidia kujenga imekula kwao
Jinai haina mwisho.Mama ni mpita njiaMakonda hataguswa sababu ya mahaba ya mama kwake, chunguza historia ya mahusiano yao yenye utata
Ambayo jumla yake ilikuwa sh ngapi? Ina maana hela zao huwa hazitumiki ni za kuweka tu? Hawali? Hawalali? Hawana familia?bunge la katiba walilipwa pdm ya laki 3, tuanzie hapo!
Mnamsagia kunguni Makonda. Anaiva vizuri na Rais SSH, nadhani mnapoteza muda.Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Huyo mfanya biashara gsm ni msafi kiasigani.Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Aliyekwambia binadamu anategemea mshahara pekee ni nani?. Umeacha shughuli zako unamhesabia mtu pato lake, hii ni zaidi ya roho ya kwanini.Fanya kwamba bunge la katiba lilikaa kwa miaka miwili mfululizo na kila siku walikua wanalipwa laki 3. Kwa hivyo basi kwakuwa mwaka mmoja una siku 365 jumlisha na mshahara still Bilioni moja haifiki
Fanya chukua (300,000 x 365) x 2 = 219,000
Mwizi mkubwa yule afu eti anakwambia alikua mkuu wa mkoa wa Dar hajawahi kumdhulumu mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi anafikiri tumesahau !!!
Wewe wangekutaka? sasahivi ungekuwa lockup
Aibu kubwa snLkn huwa hawana ujanja wa kuishi nje ya upigaji,hata biashara zao ufa mfumo ukiwatupa. Check mabus ya buffalo, mabus ya scandinavian, nk. Huwezi endesha biashara kwa kutegemea uporaji.