Arusha wanatuangusha sana linapofika swala la kuchagua wabunge.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ameuteka uwanja na kuufanya kuwa 'busy' wakati akimuulizia Mbunge wa Arusha Mjini mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kitaifa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Makonda alimtaja Mbunge mwenyeji ambaye ni Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ambapo hakumuona na kusema "naamini Mheshimwa Gambo hapendi makubwa atakuwa amekaa sehemu yenye wananchi"
View attachment 3263594
Atajibu kesho kwenye mitandao kuwa ana elimu iliyonyookaGambo mwenyewe akajibu nini
Duh matumizi mabaya ya kodiHahah Jimbo linagawanywa watapata nafasi wote. Ila bifu lao nimelipenda.
Nyamitako mchokozi sanaMkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ameuteka uwanja na kuufanya kuwa 'busy' wakati akimuulizia Mbunge wa Arusha Mjini mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kitaifa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Makonda alimtaja Mbunge mwenyeji ambaye ni Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ambapo hakumuona na kusema
"Mheshimiwa Rais tunao wabunge upande huu (akionyesha), pia tunaye mbunge wa Arusha mjini, Mheshimiwa Gambo (Mrisho) upo wapi? Mbona simuoni?
"Itakuwa amekaa jukwaa la wananchi wa kawaida kwa sababu hapendi makuu," amesema na kuongeza Makonda
View attachment 3263594
πππππNyamitako mchokozi sana
Dah ila siasa bwana tamu sana ila sijui lini hawa ccm watatoka madarakani.
πππKesho Gambo atajibu, Yeye ana elimu iliyonyooka.ππ
Kuna habari za Likizo iliyovuma....tumia D zako mbili tu A ziache kwanza wakati ni huu!Kuna kitu waliibiana nini.....
Kama hakuwepo aliyemshauri kakosea!Gambo kakataa kuja
Sherehe kubwa inafanyika Jimboni kwake....! Huwezi kuichukulia Poa hii!!Kwani yeye mwanamke