Makonda amtafuta Gambo mbele ya Rais Samia, hajaonekana walipokaa wabunge wengine

Makonda amtafuta Gambo mbele ya Rais Samia, hajaonekana walipokaa wabunge wengine

Gambo sio mjinga ila ana tag ya serikali na chama wakati makonda ana tag ya wananchi. Wote Wana umuhimu na wote watapata wanachokitaka.
Mtu atakaye mchagua Bashite basi huyo akili zake ni za chini kuliko hata huyo bashite
 
Watakaomchagua Makonda waandike maumivu.
Huyu jamaa ni msanii mazima!
Watasubiri tu kuchomewa nyama..mambo ya maendeleo wasahau.

Gambo ni mjanja mjanja ila kwa Makonda akasome.
Arusha bahati mbaya.
Ni mbunge gani arusha ameleta maendeleo?
 
Ni dharau kubwa mbunge kutoonekana kwenye ziara au shughuli endapo kiongozi wake mkubwa wa chama yupo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ameuteka uwanja na kuufanya kuwa 'busy' wakati akimuulizia Mbunge wa Arusha Mjini mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kitaifa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Makonda alimtaja Mbunge mwenyeji ambaye ni Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ambapo hakumuona na kusema

"Mheshimiwa Rais tunao wabunge upande huu (akionyesha), pia tunaye mbunge wa Arusha mjini, Mheshimiwa Gambo (Mrisho) upo wapi? Mbona simuoni?

"Itakuwa amekaa jukwaa la wananchi wa kawaida kwa sababu hapendi makuu," amesema na kuongeza Makonda


View attachment 3263594
sasa yeye bashite, sikukuu ya wanawake ameenda kufanya nini huko? wakimvalisha dera atakataa? au na yeye ni fungu gani.
 
Watakaomchagua Makonda waandike maumivu.
Huyu jamaa ni msanii mazima!
Watasubiri tu kuchomewa nyama..mambo ya maendeleo wasahau.

Gambo ni mjanja mjanja ila kwa Makonda akasome.
Arusha bahati mbaya.
Yani huyu jamaa kwa sasa ni hotcake sana hata watu wa Kigamboni wanaombea aachane na Arusha akagombee jimbo lao.....jamaa akichukua Ubunge na uwaziri hakosi....kama ni mkeka unaambiwa hio ni sure bet,, hata wasiompenda wamchafue vipi jamaa wananchi ameweza kuwavuta upande wake
 
"Mimi elimu yangu imenyooka ,mtu kama yule elimu yake ina mashaka mashaka" - Gambo
 
Ukuu wamkoa ni hisani baada ya kuvurunda kwenye uenezi 😀😀, hesabu za mama ni kali mno yule hata kwenye baraza hafai tatizo kamdomo kepesi mno, bora yule kijana mkimya kidogo ana breki kwenye maongezi .
 
Gambo ameonyesha weakness kubwa hata kama yeye ni msomi hawezi kuacha kuhudhuria sehemu ambayo Rais yupo yeye akiwa ni mbunge wa sehemu husika. Kama yeye kweli ni msomi which I doubt angetumia ule msemo if you cant fight them join them
 
Back
Top Bottom