Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli

Blatant lie

Please mpe magu heshima yake
 
Blatant lie

Please mpe magu heshima yake
Yaani hoja mkuu,
Ni kwamba makonda anazo zile tabia za magufuli kama alivyokuwa anafanya.

Amesema sasahiv mambo yamebadilika hawawezi kuendelea kufanya kazi ofisini na sasa watakuwa wanasikiliza matatizo ya wananchi
 

Magufuli ni chata nyingine kabisa tangu akiwa Waziri...

Makonda anapelemba tu
 
K.A.M.P.E.N.I...
Bado muda wa kumnadi....
 
Sasa ataimaliza nchi mwaka gani kana anataka tembea kila kona. Then tutajuane kama ni PR stunts or not. Tunahitaji mifumo ndo ifanye kazi, siyo mifumo ipalalyse alafu tusubiri mtu mmoja atembee nchi nzima. Tutachelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…