The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
- Thread starter
- #61
Kwanini mkuu?tatisho shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?tatisho shule
Umeme wa moyobasi atadungwa pia …
Mbowe akifa kwa kihoro tutakufa na wewePaul makonda mkuu.
Naona ana tabia za hayati magufuli anatufaa sana
Mimi pale naona mwenye ushawishi ni tundulisuMbowe akifa kwa kihoro tutakufa na wewe
Ahaaahaaa kumbe ni huyo mhuni 😂kocha wa timu ya judo tanzania.
Baba hata mojaYaani hoja mkuu,
Ni kwamba makonda anazo zile tabia za magufuli kama alivyokuwa anafanya.
Amesema sasahiv mambo yamebadilika hawawezi kuendelea kufanya kazi ofisini na sasa watakuwa wanasikiliza matatizo ya wananchi
Kile chuma kilikuwa hatari, 🙌🏻Baba hata moja
Magu wa a man of his words and actions
Halafu mama je? Mpaka abdul amalize lile jengo lake dubaiTumpe tiketi ya 2025 tuone!
Anafaa twende naye 2025Habari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
2025 si mama kwanza mkuu?Anafaa
Anafaa twende naye 2025
Hizi dua na sala zenu mbona hazikumuokoa magufuli, acheni kumdanganyaStaili na kasi ambayo makonda ameamua kwenda nayo ni hiyo ambayo wananchi wengi tunaitaka. Haiwezekani kero walizonazo wananchi zikae miaka mingi bila ufumbuzi Kama kwamba hatuna viongozi Mh.Makonda endelea hivo hivo Watanzania wazalendo wengi tupo nyuma yako kwa dua na Sala.
Msambaratishaji wa kambi za mafisi yenye uchu wa kula mizoga na mali asili za nchiMakonda ndiyo nani?
lile takko sijui kwa nn washauri wk wasimshauri akalipeleka MLOGA labda akili zitarudiUkichanganya na akili ndogo, unapata kituko
Ubongo wako haufanyi kazi.Kwa hiyo ni sifa kufanana na "maliyemu"?Habari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Are u serious?Mimi naona makonda anatufaa mkuu
Makonda amemwaga vijana humu wanapima upepo. Ngoja tuoneAre u serious?