David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
Mwarobaini wa yote hayo ni katiba mpya itakayotokana na maoni ya wananchi na Sheria zisizo na upendeleo katika jamii,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue kama ya huyu mama kama haijawahi kukuta huezi elewa maanaHabari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Ni kweli wanafanana mambo mengiMagufuli, na Makonda wote hawafai.
uwezo halisi ni upi??Sema anakufaa sio kutufaa. Makonda hana hata uwezo wa kuwa mtendaji wa kata. Wewe unaangalia kelele za Jukwaani sisi tunaangalia uwezo halisi bila kuwekwa
una hamu ya kuokota viloba vyenye miili ya..............beach na mwabwepande nini?Habari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama - kazi yake ni nini?uwezo halisi ni upi??
kiongozi kazi yake sio kushika fyekeo ni kusimamia na kuongoza wanaofyeka.
kama watu wanakata umeme na wanapoitwa waeleze sababu wanaanza kujamba jamba,unapata taswira gani???
yule ni mwenezi wa chama,jukumu lake kuu ni kumulika utekelezaji wa ilani ikiwa zinakwenda sawa,kuna uzito mhusika anatakiwa aeleze mara moja.
tumeshuhudia uozo uozo maeneo mengi tu,kuja kujua kumbe ni uzembe wa wasimamizi wala sio serikali.kwa ujumla.
mjinga mwenye comfidence!!!!!!!!!!!!!!!!!da!!!!umetisha mwanangu rasta,umenikumbusha zamani wakti bado nipo skonga{sekondari] pale kilimanjaro boyz,,,,{miaka hiyo],tilikuwa 2naenda kujifunza kung-fu porini,baada ya mazoezi tunavuta ile ki2 ya jamaika{siku izi sivuti],,,basi bhana,kumbe wanakijiji weshaenda kumtonya headmaster,basi ile 2unavuta akaja mzee mmoja kavaa pama alaf anatembelea fimbo{kumbe alikuwa head-master anaekti mazee hatukujua],,basi wacha 2mpige mikwara mzee wa wa2,,jamaa ye2 mmoja anaitwa tesha akaenda kumkwida!!,eh headmaster akaona asipojidhirisha atapigwa kweli,,,mara paaaaaaaaaaaaaaaap akavua pama lake!!! mwanangu 2likuwa wadogo kama kipele!!!2karudi skuli kwa gwaride,kesho yake tukasimamishwa shule mpaka tuje na madiii ze2,,,anyway,wazee walipokuja 2lipata mkon"oto kama mandonga anavochapwaga!!!! da!!"umenikumbusha mbali sana man!!wanasema ogopa sana mjinga mwenye confidence.
Mkuu unaye mwanasheria?😂😂😂..hatuwezi kuwa na Amiri Jeshi Mkuu ana makalio makubwa kama ya mwanamke.
Mbona watu wanasema mtu kama huyo ni mzuri kuleta maendeleo kama ulivyokuwa kwa magu?HUYO NI DIKTETA ANAYEKOMAA KWA KASI KUBWA ASIPODHIBITIWA ATALETA MADHARA MAKUBWA
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu nchi yetu inahitaji dikteta na si mtu anayefanya negotiation na mtendaji na asiye mwanasiasaAre u serious?
naunga mkono hojaHii nchi inahitaji watu wakatili tu kuiendesha maana Kuna wajinga wengi wanaichezea hii nchi
kabisa anahitajika zaidi ya huyoMbona watu wanasema mtu kama huyo ni mzuri kuleta maendeleo kama ulivyokuwa kwa magu?
Hivi mnajua maana ya mtu kuwa dikteta?Ndio mkuu nchi yetu inahitaji dikteta na si mtu anayefanya negotiation na mtendaji na asiye mwanasiasa
bado naona kama anaigiza kutufuta machozi , yupo mtu sahihi ila asili yake inanipa mashaka kama kwel na moyon ni mtz , asije tuletea ya nchini kwaoKwahyo makonda anafaa mkuu?
Nani huyu mkuu? Makamu au?bado naona kama anaigiza kutufuta machozi , yupo mtu sahihi ila asili yake inanipa mashaka kama kwel na moyon ni mtz , asije tuletea ya nchini kwao
na Sa100 anawatunza tuUnaweza kuona sasa,wanasubiri Hadi mtu mwingine aje awambie Sasa hao ni viongozi au takataka hovyo kabisa.
bado sana tuwe wakwel , yule anaigiza ila Jpm hakuigizaPaul makonda mkuu.
Naona ana tabia za hayati magufuli anatufaa sana