Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli

Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli

Staili na kasi ambayo makonda ameamua kwenda nayo ni hiyo ambayo wananchi wengi tunaitaka. Haiwezekani kero walizonazo wananchi zikae miaka mingi bila ufumbuzi Kama kwamba hatuna viongozi Mh.Makonda endelea hivo hivo Watanzania wazalendo wengi tupo nyuma yako kwa dua na Sala.
Kila siku mnaambiwa imarisheni MIFUMO nyie bado mnaamini one man show... Hamjajifunza kwa mwendazake na bado hamtajifunza kwa huyo Makonda... Mwendazake angetumia nguvu nyingi kuimarisha mifumo na kupitisha sheria bora na imara leo tusingekuwa tunamfanyia References kila siku. Kiongozi hata awe mzuri kiasi gani ukweli ni kwamba siku moja atastaafu, kuugua au hata kutangulia mbele ya haki. Hivyo kinachotakiwa ni mifumo imara kuanzia vyombo vya dola, mahakama, bunge nk
 
Habari wanajamvi?

Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
HUYO NI DIKTETA ANAYEKOMAA KWA KASI KUBWA ASIPODHIBITIWA ATALETA MADHARA MAKUBWA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajamvi?

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Anzia hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... kisha njoo hapa Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

Halafu malizia hapa Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Makonda ni JPM Reincarnation!.
P
 
Hii nchi inahitaji watu wakatili tu kuiendesha maana Kuna wajinga wengi wanaichezea hii nchi
Kwa hiyo sabaya apewe cheo gani, ili ainyoreshe nchi?
Huku makonda kule sabaya. Kwa huu upili mtakatifu, Mbowe lazima ahamie Dubai
 
Habari wanajamvi?

Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?

..hatuwezi kuwa na Amiri Jeshi Mkuu ana makalio makubwa kama ya mwanamke.
 
Staili na kasi ambayo makonda ameamua kwenda nayo ni hiyo ambayo wananchi wengi tunaitaka. Haiwezekani kero walizonazo wananchi zikae miaka mingi bila ufumbuzi Kama kwamba hatuna viongozi Mh.Makonda endelea hivo hivo Watanzania wazalendo wengi tupo nyuma yako kwa dua na Sala.

..hizo kero anazokutana nazo Makonda zilimshinda hata Magufuli kwa miaka 6 aliyokuwa madarakani.
 
Habari wanajamvi?

Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Ni swala la muda tu ila jamaaa namkubali s ana, sema kuna utoto anaufsnya sijui ni hobi ama ushamba kuingia na mkokoteni sijui vitu gani mm ndo siupendi. Ila is my next president
 
Habari wanajamvi?

Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?

Watoto wakikusumbua sana unawatafutia dude wahangaike nalo upumue kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Solution ni mifumo imara yenye checks and balance

Na hata with those systems, ni vigumu kupata absolute situations hapa duniani

..Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100.

..anachofanya Makonda ni maigizo matupu.

..mikutano yake ktk wilaya anazopita haizidi masaa mawili.

..katika muda huo anapanda mikokoteni, anawatukana Mbowe na Lissu, ataeleza alivyo mchamungu, atasikiliza kero, na atapiga simu kwa mawaziri.

..vilevile akonda hana mamlaka na bajeti ya serikali. Hawezi kuhamisha au kupeleka fedha za serikali ktk mradi wowote.

..muda si mrefu wananchi watagundua kuwa Makonda ni mbambaishaji tu. Malengo ya ziara zake ni kupiga fedha za Ccm.
 
Habari wanajamvi?

Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.

Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.

Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.

Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Ndio unajua Leo? Mkija kurogwa kumpa Nchi mjue mnarudi kuleeee,msije kusema sikuwaambia.

Majibu yote ni 2030
 
Unaweza kuona sasa,wanasubiri Hadi mtu mwingine aje awambie Sasa hao ni viongozi au takataka hovyo kabisa.
Kimsingi yanakera Kwa sababu wako Ofisini Kwa kazi zipi hasa? Hata hivyo kama unajua saikolojia ya binadamu hasa mtu mweusi Utajua kwamba ni wachache sana ambao Huwa wanajitambua bila kusukumwa.
 
Bora tu tuongozwe na mkono wa chuma maana Hawa wa kutubembeleza ndo matatizo yanazidi
Kama wewe ni maskini sana ndo utaona ni sawa tu kuongozwa kwa mkono wa chuma. Ila kama tayari umeshapata mafanikio ndo utajua balaa la mkono wa chuma. Enzi za JPM unaenda kucheki bank account unakuta salio lote limesombwa ukifuatilia unaambiwa TRA wamechukua kodi. Ilikuwa hali mbaya sana. Ilikuwa ni haramu kuwa na pesa. Pale Arusha watu waliporwa pesa zao kwa mtutu. Uongozi wa mkono wa chuma haufai.
 
Hana lolote...

Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...

Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...
Mimi kama mwanasaikolojia ni kwamba mkirogwa mka mpa Uongozi Makonda ni typical Magufuli ila Sasa shida ya Viongozi aina ya Makonda ni mjiandae kuwa dikteta Kwa sababu hataki kukosolewa na anapenda sifa na majivuno na wakurypukaji.Hawapendi kupata kitu Kwa undani.

Mbaya zaidi mtaishia kuwa maskini na Biashara mnazoona zinafufuia Leo Watoto wenu wanapata kazi zitakimbia zote Kwa sababu itafika pointi mtaanza kuitwa majizi,wezi na ujinga mwingine kama huo.

Wale mnaoitwa Wanyonge mtazidi kuwa maskini huku mkijifariji kwamba Watumishi Wana nidhamu 🤣🤣

Wafanyabiashara ni wajanja wanajua kunusa mkianza mchakato wa kunteua utaona fasta wataacha au kupunguza uwekezaji na kuhamishia mitaji Kwa jirani Ili nyie Wanyonge mpige makofi na vigelegele vizuri Kwa Makonda.

Saizi Wanamuogopa Makonda Kwa sababu amepewa Nguvu na Samia na hakuna wa kumgusa.

Mimi binafsi watu dizaini ya Makonda napenda wawe wanaishia level ya PM Kwa usalama wao maana Dunia haiwahitaji watu wenye msimamo mkali na wasio na emotional balance.
 
Mimi kama mwanasaikolojia ni kwamba mkirogwa mka mpa Uongozi Makonda ni typical Magufuli ila Sasa shida ya Viongozi aina ya Makonda ni mjiandae kuwa dikteta Kwa sababu hataki kukosolewa na anapenda sifa na majivuno na wakurypukaji.Hawapendi kupata kitu Kwa undani.

Mbaya zaidi mtaishia kuwa maskini na Biashara mnazoona zinafufuia Leo Watoto wenu wanapata kazi zitakimbia zote Kwa sababu itafika pointi mtaanza kuitwa majizi,wezi na ujinga mwingine kama huo.

Wale mnaoitwa Wanyonge mtazidi kuwa maskini huku mkijifariji kwamba Watumishi Wana nidhamu 🤣🤣

Wafanyabiashara ni wajanja wanajua kunusa mkianza mchakato wa kunteua utaona fasta wataacha au kupunguza uwekezaji na kuhamishia mitaji Kwa jirani Ili nyie Wanyonge mpige makofi na vigelegele vizuri Kwa Makonda.

Saizi Wanamuogopa Makonda Kwa sababu amepewa Nguvu na Samia na hakuna wa kumgusa.

Mimi binafsi watu dizaini ya Makonda napenda wawe wanaishia level ya PM Kwa usalama wao maana Dunia haiwahitaji watu wenye msimamo mkali na wasio na emotional balance.

😄

Narudia tena, hebu tusimfananishe Makonda na Magufuli kabisa...

Makonda anafaa tu kuwa vuvuzela, ana broadcast visions za wengine
 
Back
Top Bottom