Pre GE2025 Makonda anahalalisha uvunjifu wa sheria? Hizo kesi anazosema auziwe yeye atazimaliza vipi au anatuma ujumbe gani?

Pre GE2025 Makonda anahalalisha uvunjifu wa sheria? Hizo kesi anazosema auziwe yeye atazimaliza vipi au anatuma ujumbe gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Makonda anaalika watu wenye Range, Doscovery nk kwenda Arusha kwenye tamasha la land rover festival 2024, huku akieleza kuwa watakaokwenda wakiwa njiani wakipata changamoto yoyote wamwambie Huyo Askari wa Barabarani ampigie Makonda, yaani kesi zote auziwe yeye Makonda, waseme Makond ndio kawaalika.

Je, anamaanisha kuwa wakiwa na makosa basi yeye atakuwa kama ngao ya makosa yao?,Je, Makonda yuko juu ya sheria? Anatuma ujumbe kuwa anaweza kuvunja sheria na hakuna lolote litamgusa au yoyote wa kumugusa na kwmba anaweza kukinga hata makosa ya wale anaowataka?

Pia soma: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
 
Nyie mnaoleta humu ngonjera kuhusu Makonda naona ndio mnampa publicit kwani tabia zake zimeanza leo? Mkimpuuza mnapungukiwa nini
 
Kama aliongoza genge la kutaka kumuua TAL lakini hakushitakiwa sehemu yeyote ndio ije kuwa traffic case? Nasisitiza wenye mikweche hata kama hauna leseni traffic akikukamata mwambie aongee na BASHITE.
 
Tumefikia mahali pa hovyo sana ktk kiwango cha lami!
Majuzi ilikuwa siku ya afya ya akili, nahisi alikuwa anatania tu!
 
Kama aliongoza genge la kutaka kumuua TAL lakini hakushitakiwa sehemu yeyote ndio ije kuwa traffic case? Nasisitiza wenye mikweche hata kama hauna leseni traffic akikukamata mwambie aongee na BASHITE.
Hatari sana
 
Wakuu,

Makonda asema mwenye Difenda, Range au Discovery aende kushiriki tamasha aliloandaa, na ikitokea amesimamishwa na askari aseme kaalikwa na Makonda, ampe kesi yeye. Kauli hii ni sawa na kuhalalisha uvunjivu wa sheria, maana kile atakayekutwa na janga atasema Makonda amesema usituzie tupite bila shida.

Kwa namna fulani na ka namna na kujipigia promo kwenye uchaguzi, ukimchagua Makonda mambo ni oya oya huna haja ya kufuata sheria.


Pia soma: Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi
 
Wakuu,

Makonda asema mwenye Difenda, Range au Discovery aende kushiriki tamasha aliloandaa, na ikitokea amesimamishwa na askari aseme kaalikwa na Makonda, ampe kesi yeye. Kauli hii ni sawa na kuhalalisha uvunjivu wa sheria, maana kile atakayekutwa na janga atasema Makonda amesema usituzie tupite bila shida.

Kwa namna fulani na ka namna na kujipigia promo kwenye uchaguzi, ukimchagua Makonda mambo ni oya oya huna haja ya kufuata sheria.

Pia soma: Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi
😂😂😂
 
Wakuu,

Makonda asema mwenye Difenda, Range au Discovery aende kushiriki tamasha aliloandaa, na ikitokea amesimamishwa na askari aseme kaalikwa na Makonda, ampe kesi yeye. Kauli hii ni sawa na kuhalalisha uvunjivu wa sheria, maana kile atakayekutwa na janga atasema Makonda amesema usituzie tupite bila shida.

Kwa namna fulani na ka namna na kujipigia promo kwenye uchaguzi, ukimchagua Makonda mambo ni oya oya huna haja ya kufuata sheria.

Pia soma: Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi
Halafu MTU kama huyu anapewa madaraka ya kumwambia Polisi Shika huyu weka ndani
 
Wakuu,

Makonda asema mwenye Difenda, Range au Discovery aende kushiriki tamasha aliloandaa, na ikitokea amesimamishwa na askari aseme kaalikwa na Makonda, ampe kesi yeye. Kauli hii ni sawa na kuhalalisha uvunjivu wa sheria, maana kile atakayekutwa na janga atasema Makonda amesema usituzie tupite bila shida.

Kwa namna fulani na ka namna na kujipigia promo kwenye uchaguzi, ukimchagua Makonda mambo ni oya oya huna haja ya kufuata sheria.

Pia soma: Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi
Kwa kipindi hiki hio ni exemption hajasema watumie barabara kwa kuvunja sheria, hilo ni tukio mahususi la Kutangaza nchi, kwenye hili tuungane sote tafadhari
 
Back
Top Bottom