Pre GE2025 Makonda anahalalisha uvunjifu wa sheria? Hizo kesi anazosema auziwe yeye atazimaliza vipi au anatuma ujumbe gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makonda mzee wa amshaamsha 😄

Ova
 
Huyu mjinga kweli kanyimwa akili kapewa makalio makuuuubwaa.
 
Makonda akili yake anaijua yeye na wanao mteuaga
 
Majuzi ilikuwa siku ya afya ya akili
Patia kipaumbele afya ya akili pahala pa kazi, ndio msingi maudhui ya siku ya Afya ya Akili duniani inayoadhimishwa leo Oktoba 10, wakati huu ambapo inaelezwa mtu 1 kati ya 8 duniani ana tatizo la afya ya akili.

Jana sio Majuzi
 
Hana akili za kutosha.
 
Huyo askari polisi atakaefuata maelekezo ya makonda atakuwa hana akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…