Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

Mi ni mtumishi wa serikali tena ni mkuu wa Idara huku mikoani nilipo. Kama Makonda angekuwa kwenye mkoa wangu aniambie upuuzi au huo usenge aliomwambia yule mwanamke namtukana na kushuka au kuondoka alipo. Hawezi nidharirisha kiasi hiko kwani yeye nani?

Nilimuona wakati akiwa Katibu mwenezi alikuja huku mkoani kwetu, mwambieni aache shobo. RC ni mtu mdogo tu na yeye hana jipya. Yeye sio Mungu hadi atudhalilishe hivyo.
 
Mimi siyo Mwana-ccm kabisa ila mleta mada kwa taarifa yako anachofanya Makonda itakuwa kilio kwa wapinzani kama hatutakuja na strategy mbadala ya kujieleza kwa wananchi.

Hakuna kitu mwenye shida anachokifurahia kama kusikilizwa kwa shida yake, hata kama hatatekelezewa anachokihitaji ila ameeleza na kusikilizwa, moyo wake unaanza kuambatana na msikilizaji.......
Hatutaki kura za watu wenye upeo mdogo. Isitoshe kwa uchaguzi gani ambao kutakuwa na kipimo Cha kweli Cha matakwa ya wananchi?
 
Watu mna chuki binafisi na makonda kiricho tokea nijambo la kawaida huwezi kuulizwa swali badala ya kujibu unaanza kujinyentuwa nyentuwa kanakwa unatongozwa eti utazame tu nyooo
 
Acha uongo wewe. Ngojeni Makonda awaumbue dhulumani, fisadi na wazembe. Subirini shindano iwaingie.
 
Kiongozi sifa ya kwanza ni kuonyesha njia na unyenyekevu, hapo ana madaraka ya ukuu wa mkoa, anazurura na magari yote hayo, eti akakague ubadhirifu, wakati msafara wake ni ubadhirifu.

Anyway, ana kazi ya kusimamia ujenzi wa hoteli fulani na mru fulani, pamoja na ile ya Mrema iliyouzwa kwa mnada kwa mtu fulani. Kwa hiyo atakaa sana Arusha mpaka amalize hiyo project, labda baadae atatupwa mwanza akasaidie kukusanya kura za ukanda huo
Unateseka ukiwa wapi🤣.
Hapo bado ni RC na unateseka namna hiyo, ngoja awe presdaa ndiyo ufe kabisa🤣
 
Naona sindano imekuingia vizuri , mpaka unaongea vitu visivyo vya kweli. Yaan unapayukapayuka kama mgonjwa wa malaria. Sindano ya makonda inachoma kweli kweli. Tulia Makonda anachoma kwa siku sita hapo Arusha. Tulia sindano iingie vizuri. Ukimaliza kupokea doz ya hiyo sindano nenda kawambie hao watumishi waache wizi wa pesa za serikali.
Tulia chanjo ya Makonda iendelee kukuingia.
Kuna shida kubwa ya ifikiri unaamini tatizo lipo kwa Makonda au lipo kwenye mfumo mzima
 
Acha upotoshaji. Tatizo kubwa la Local gorvenment ni Mchengelwa. Watu hawamuheshimu kabisa. Kesho nitaleta uzi wa namna watumishi wa Tamisemi wanamdharau.
 
Yaani wewe jamaa ni lijinga sana. Hivi wizi kama ule ulioripotiwa na Chamburo hauuoni???? Idiot mkubwa watu ka ninyi sijui kwanini mama yako hata haku abort tu au mshua angemwaga auti
 
Wakati wewe upo shwari kuna maelfu ya watanzania wanashida ambazo chanzo chake ni watumishi au wana kero na raia wenzao ambazo hazina hitimisho kwa uzembe wa mamlaka husika. Hiko ndio anachokionyesha Makonda.

Alipokuwa msemaji wa chama mmepiga majungu mpaka katolewa. Wakati ndani ya muda mfupi wa nafasi yake Makonda alikuwa anambadilishia upepo Samia. Mmeenda kuweka watu ambao hawajui kuongea na kadamnasi, majuzi jina la raisi limetajwa kwenye mkutano wa kutatua kero watu wamezomea.

Makonda kafika Arusha majuzi tu keshawapa polisi pikipiki 40, na anamjengea imani raisi mbele ya wananchi.

Mnapinga mambo wanayofanya wenzenu, wakati mkipewa kazi amuwezi kuonyesha matokeo chanya. Mama watu kawatafutia hela kweli hakuna kinachoonekana watu wamezila karibu zote.

Ni sampuli ya watu wa aina hii ndio mlioharibu uraisi wa Samia aonekane wa hovyo, amtaki mabadiliko mnataka kulinda status yenye culture ya uzembe, kutowajibika na wizi. Wakati utaratibu huo unaumiza maskini ambao ukweli wenyewe wamemchoka huyo mama.
You're correct kabisa yaani.

Huyu mwandishi ni anatumia roho mbaya tu.

Na hiki alichoandika ndiyo uhalisia wa roho mbaya tuliyo nayo waafrika, yaani hapo ndipo roho kwatu kuona mwingine akiharibu.
 
Yaani wewe jamaa ni lijinga sana. Hivi wizi kama ule ulioripotiwa na Chamburo hauuoni???? Idiot mkubwa watu ka ninyi sijui kwanini mama yako hata haku abort tu au mshua angemwaga auti
Kwa hiyo unaamini matatizo yanaisha kwakutukana na kuwadhalilisha watu?

Umewahi kumsikia Rais akimtukana mteule wake aliyevurunda?

Mke wake anahusika vipi kwenye kazi? Kwa hiyo kuwatukana waliopo chini yake ndio maji yametoka? Ndio huduma za afya zimepatikana?

Tusitetee ujinga, mtu yeyote mwenye akili timamu awezi kushangilia matusi na udhalilishaji wa aina ile.
 
Kwa hiyo unaamini matatizo yanaisha kwakutukana na kuwadhalilisha watu?

Umewahi kumsikia Rais akimtukana mteule wake aliyevurunda?

Mke wake anahusika vipi kwenye kazi? Kwa hiyo kuwatukana waliopo chini yake ndio maji yametoka? Ndio huduma za afya zimepatikana?

Tusitetea ujinga, mtu yeyote mwenye akili timamu awezi kushangilia matusi na udhalilishaji wa aina ile.
Pole sana kwa kuwa na uelewa mdogo wa mambo aiza kwa sababu wewe ni moja ya waathirika wa matukio mabaya ya Makonda. Sisi tukiangalia Makonda hajamtukana mtu yeyote ambaye hana makosa. Kinachotokea wale wasiokuwa na maadili, wazembe lazima wakutane na mkono wake. Ni muhimu kutambua maendeleo hayaji kwa kuchekeana
 
Makonda hajawahi kuwa kiongozi mzuri ni hovyo tupu!
 
Manispaa na Halmashauri zimejaa watendaji wapuuzi sana na vidigrii vyao vya OPEN UNIVERSITY. Wengi wajinga sana wanatabia mbaya.
 
Back
Top Bottom