Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

Unapokuwa kiongozi unayemtumia vyombo vya habari kudhalilisha watumishi wa umma unakuwa umemdhalilisha hata aliyekuteua.

Kinachotokea Arusha ni kumkwamisha Mhe. Rais, kwa sasa watumishi walio wengi wameweka mgomo. Kila analoelekeza hakuna anayelitekeleza badala yake wanasubiri aondoke na kamera zake na magari ya tours aliyolazimisha yaambatane naye.

Kwenye mikutano hata viongozi wa CCM wamegoma kushirikiana naye ; mkurugenzi ameshapishana naye kifikra na sasa hivi kila mtu anafanya awezavyo.

JPM alipoona udhalilishaji unakuwa mkubwa aliachana na huyu bwana mdogo. Sasa hivi anachofanya ni kutaka mawaziri na Mhe. Rais apeleke wale anaoona yeye anaweza kufanya nao kazi. Je, kila Mkuu wa Mkoa akiamua kuwachagua wa kushirikiana nao tutafika?
UONGO MKUBWA.

UNAKUAJE MWANAUME, PENGINE BABA, UNAKUA LIONGO ??.

NI ILI UISHI?? MBONA KUNA MISHE KIBAO ZA KUTUINGIZIA KIPATO.
 
kuna watu mpaka leo wanaamini ili uwe kiongozi mzuri lazima UFOKRFOKE Kama yuleee
Mbona ni ukweli uliona wazi.


Samia aliyewaambia kuleni Kwa kamba..sindo uyouyo alifoka. "Stupid "...Bada ya majizi kumpiga Kona zote?.


Watu wa aina yako wenye high level of incompetence, negligence , hypocrisy , Laziness ,HUWA NI LAZIMA WAMCHUMIE MTU AINA YA JPM, MAKONDA , MIMI NA WENGINE WA AINA HII.
 
Unapokuwa kiongozi unayemtumia vyombo vya habari kudhalilisha watumishi wa umma unakuwa umemdhalilisha hata aliyekuteua.

Kinachotokea Arusha ni kumkwamisha Mhe. Rais, kwa sasa watumishi walio wengi wameweka mgomo. Kila analoelekeza hakuna anayelitekeleza badala yake wanasubiri aondoke na kamera zake na magari ya tours aliyolazimisha yaambatane naye.

Kwenye mikutano hata viongozi wa CCM wamegoma kushirikiana naye ; mkurugenzi ameshapishana naye kifikra na sasa hivi kila mtu anafanya awezavyo.

JPM alipoona udhalilishaji unakuwa mkubwa aliachana na huyu bwana mdogo. Sasa hivi anachofanya ni kutaka mawaziri na Mhe. Rais apeleke wale anaoona yeye anaweza kufanya nao kazi. Je, kila Mkuu wa Mkoa akiamua kuwachagua wa kushirikiana nao tutafika?
wamuangalie kwa makini sana, anachofanya, ili apate pesa kwa wafanyabiashara, anajifanya yupo karibu na wafanyabiashara na ndio wale walimpa magari ya utalii kwenye msafara wake bure pengine, atanyanyasa sana wafanyakazi, ili wafanyabiashara wamletee pesa, apate nafasi ya kuwa nao karibu awapige pesa manake kama ukiwa kinyume naye tu lazima atakumind, ndio njia walitumia sana wakiwa na sabaya kupora pesa. wafanyabiashara wa arusha wajiandae kumpa sana pesa, na wafanyakazi wa serikali arusha wajiandae kuumia. mfanyabiashara hata akiwa na kosa, wa kulaumiwa atakuwa mfanyakazi wa serikali.
 
Somesha watoto kaka, hutachukia watumishi.
Yani nisomeshe watoto ili kesho waje kuwa watu wa hovyo wasiojali maslahi ya watanzania wenzao kama watumishi wa sekta za umma.
Ubinafsi na roho mbaya ndio zinawasumbua na kuwatia upofu na msione madhila wanayopata wananchi kutoka kwa watumishi wezi.
Nonsense😎
 
Wanaomlaumu Makonda mnakosea sana, yeye alishajisemea kabisa hawezi kubadilika akimaanisha anayoyafanya kwake anaona ni sahihi kabisa.

Toka wameanza kudhalilisha watumishi wenzao wa umma hadharani yeye na Mwendazake wake kama nchi tumefaidika na nini?

Kiongozi badala ya kusikiliza uliyemuuliza akujibu anavyotaka kueleza unaingilia anachoongea na kutaka aongee unachotaka wewe ili iweje sasa?

Kiongozi unatafuta sifa kwa kuwadhalilisha na kuwafokea wenzako hadharani ni uongozi wa wapi huo?

Kutwa kucha ni kujisifu na kutoa maneno ya kejeli kwa watumishi wa umma wenzako hadharani ili iweje?

Makonda kama Makonda hana kosa maana ndivyo alivyo na ndio hulka za watu wasiojiamini, wasio na uwezo na waliokosa ubunifu katika utendaji wao (defensive mechanism). Wanatafuta wanyonge wawatumie kupanda daraja

Nani mwenye kosa?

Mamlaka iliyomteua na kumuweka hapo alipo ndo ijiangalie na kujitafakari

Sent from my SM-E045F using JamiiForums mobile app
 
Unapokuwa kiongozi unayemtumia vyombo vya habari kudhalilisha watumishi wa umma unakuwa umemdhalilisha hata aliyekuteua.

Kinachotokea Arusha ni kumkwamisha Mhe. Rais, kwa sasa watumishi walio wengi wameweka mgomo. Kila analoelekeza hakuna anayelitekeleza badala yake wanasubiri aondoke na kamera zake na magari ya tours aliyolazimisha yaambatane naye.

Kwenye mikutano hata viongozi wa CCM wamegoma kushirikiana naye ; mkurugenzi ameshapishana naye kifikra na sasa hivi kila mtu anafanya awezavyo.

JPM alipoona udhalilishaji unakuwa mkubwa aliachana na huyu bwana mdogo. Sasa hivi anachofanya ni kutaka mawaziri na Mhe. Rais apeleke wale anaoona yeye anaweza kufanya nao kazi. Je, kila Mkuu wa Mkoa akiamua kuwachagua wa kushirikiana nao tutafika?
Kauli yake hii hapa 👇

View: https://www.instagram.com/reel/C7bYck4KRF6/?igsh=MWwxN2o3NWc4dG1jbw==
 
kiongozi yeyote mwenye dhamana ya umma ni lazma kuwajibika kwa kazi na majukumu ulopewa kwa uwazi na kwa weledi mkubwa sana.

Au accountability na Transparency siku hizi ni kero na udhalilishaji?

unaelewa ni hatari sana kwa jamii kutokujua wala kuelewa inataka nini 🐒
Kichwa bustani ya kufugia nywele!
 
Mi ni mtumishi wa serikali tena ni mkuu wa Idara huku mikoani nilipo. Kama Makonda angekuwa kwenye mkoa wangu aniambie upuuzi au huo usenge aliomwambia yule mwanamke namtukana na kushuka au kuondoka alipo. Hawezi nidharirisha kiasi hiko kwani yeye nani?

Nilimuona wakati akiwa Katibu mwenezi alikuja huku mkoani kwetu, mwambieni aache shobo. RC ni mtu mdogo tu na yeye hana jipya. Yeye sio Mungu hadi atudhalilishe hivyo.
Nakuunga mkono mkuu, hata mimi kipindi niko halmashauri nilikuwa namtamani sana aletwe mkoani kwetu, nisingekubali ujinga huo!
 
Pole sana Wasukuma tumeshagakufanya nini wewe mzeee, jichunguze vzr kama upo sawasawa kichwani huenda kuna nati zimelegea
Huyo Wasukuma walimfira wakamkataa ndo maana anawivu sana!
Kumbe kuna wajinga wanamchukia Makonda kwa sababu ni Msukuma! Mijitu mijinga sana nchi hii!
 
Hiki anacho fanya kudhalilisha wenzie kisa anapigiwa makofi na wajinga ikoje hii?hampi dada wa watu nafasi ya kuongea yeye ni vichambo tuu ya wanawake bwana maana kwa tabia ile bora makonda nimuite mwanamke tuu.
Mtamaliza majina yote kumuita ila bado yupo palepale na anazidi kuwapa shida
 
Unapokuwa kiongozi unayemtumia vyombo vya habari kudhalilisha watumishi wa umma unakuwa umemdhalilisha hata aliyekuteua.

Kinachotokea Arusha ni kumkwamisha Mhe. Rais, kwa sasa watumishi walio wengi wameweka mgomo. Kila analoelekeza hakuna anayelitekeleza badala yake wanasubiri aondoke na kamera zake na magari ya tours aliyolazimisha yaambatane naye.

Kwenye mikutano hata viongozi wa CCM wamegoma kushirikiana naye ; mkurugenzi ameshapishana naye kifikra na sasa hivi kila mtu anafanya awezavyo.

JPM alipoona udhalilishaji unakuwa mkubwa aliachana na huyu bwana mdogo. Sasa hivi anachofanya ni kutaka mawaziri na Mhe. Rais apeleke wale anaoona yeye anaweza kufanya nao kazi. Je, kila Mkuu wa Mkoa akiamua kuwachagua wa kushirikiana nao tutafika?
JPM hakuachana na Makonda bali ni yeye mwenyewe Makonda aliomba ridhaa ya kugombea Ubunge kupitia CCM ndo maana akapoteza sifa ya kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa, na hiyo ni kwa Mujibu wa Waraka namba moja wa Rais wa mwaka 2000 unavyoelekeza. Kwa hiyo waambie waliokutuma kumchafua Makonda wawe wanakupa hints za kutosha kabla hujakurupuka, mwacheni Makonda apige kazi.
 
Back
Top Bottom