Hitler na Mussolini waliingia madarakani kwa hadaa za hivi hivi, walichokuja kukifanya Dunia na nchi zao zilijuta.Mambo yaleyale yaliyopita yanaanza kujirudia tena. Huyu mkuu akipewa madaraka makubwa ni hatari, hakuna atakayekuwa na sauti mbele yake.
Hatutaki kura za watu wenye upeo mdogo. Isitoshe kwa uchaguzi gani ambao kutakuwa na kipimo Cha kweli Cha matakwa ya wananchi?Mimi siyo Mwana-ccm kabisa ila mleta mada kwa taarifa yako anachofanya Makonda itakuwa kilio kwa wapinzani kama hatutakuja na strategy mbadala ya kujieleza kwa wananchi.
Hakuna kitu mwenye shida anachokifurahia kama kusikilizwa kwa shida yake, hata kama hatatekelezewa anachokihitaji ila ameeleza na kusikilizwa, moyo wake unaanza kuambatana na msikilizaji.......
Hiyo itakuwa katiba ya ccm, sio ya wananchi.katiba ni baada ya uchaguzi mkuu 2025 gentleman š
ndio haki ya wananchi wenyewe hao walio wengi wameamua, then na wachache wanaenjoy kuskizwa šHiyo itakuwa katiba ya ccm, sio ya wananchi.
Wengi au majizi ya kura?ndio haki ya wananchi wenyewe hao walio wengi wameamua, then na wachache wanaenjoy kuskizwa š
wananchi wakiamua huwezi badili maamuzi yao, au yakaachwa, halafu ikazingatiwa mihemko na ghadhabu zako na wachache wenzio šWengi au majizi ya kura?
Tehš,kunywa maji mengi utakaa sawa,mwache RC ainyooshe Arusha.Sio chuki makonda hafai kuwa kiongozi wa umma
Unateseka ukiwa wapiš¤£.Kiongozi sifa ya kwanza ni kuonyesha njia na unyenyekevu, hapo ana madaraka ya ukuu wa mkoa, anazurura na magari yote hayo, eti akakague ubadhirifu, wakati msafara wake ni ubadhirifu.
Anyway, ana kazi ya kusimamia ujenzi wa hoteli fulani na mru fulani, pamoja na ile ya Mrema iliyouzwa kwa mnada kwa mtu fulani. Kwa hiyo atakaa sana Arusha mpaka amalize hiyo project, labda baadae atatupwa mwanza akasaidie kukusanya kura za ukanda huo
Naona sindano imekuingia vizuri , mpaka unaongea vitu visivyo vya kweli. Yaan unapayukapayuka kama mgonjwa wa malaria. Sindano ya makonda inachoma kweli kweli. Tulia Makonda anachoma kwa siku sita hapo Arusha. Tulia sindano iingie vizuri. Ukimaliza kupokea doz ya hiyo sindano nenda kawambie hao watumishi waache wizi wa pesa za serikali.
Kuna shida kubwa ya ifikiri unaamini tatizo lipo kwa Makonda au lipo kwenye mfumo mzimaTulia chanjo ya Makonda iendelee kukuingia.
You're correct kabisa yaani.Wakati wewe upo shwari kuna maelfu ya watanzania wanashida ambazo chanzo chake ni watumishi au wana kero na raia wenzao ambazo hazina hitimisho kwa uzembe wa mamlaka husika. Hiko ndio anachokionyesha Makonda.
Alipokuwa msemaji wa chama mmepiga majungu mpaka katolewa. Wakati ndani ya muda mfupi wa nafasi yake Makonda alikuwa anambadilishia upepo Samia. Mmeenda kuweka watu ambao hawajui kuongea na kadamnasi, majuzi jina la raisi limetajwa kwenye mkutano wa kutatua kero watu wamezomea.
Makonda kafika Arusha majuzi tu keshawapa polisi pikipiki 40, na anamjengea imani raisi mbele ya wananchi.
Mnapinga mambo wanayofanya wenzenu, wakati mkipewa kazi amuwezi kuonyesha matokeo chanya. Mama watu kawatafutia hela kweli hakuna kinachoonekana watu wamezila karibu zote.
Ni sampuli ya watu wa aina hii ndio mlioharibu uraisi wa Samia aonekane wa hovyo, amtaki mabadiliko mnataka kulinda status yenye culture ya uzembe, kutowajibika na wizi. Wakati utaratibu huo unaumiza maskini ambao ukweli wenyewe wamemchoka huyo mama.
Kwa hiyo unaamini matatizo yanaisha kwakutukana na kuwadhalilisha watu?Yaani wewe jamaa ni lijinga sana. Hivi wizi kama ule ulioripotiwa na Chamburo hauuoni???? Idiot mkubwa watu ka ninyi sijui kwanini mama yako hata haku abort tu au mshua angemwaga auti
Pole sana kwa kuwa na uelewa mdogo wa mambo aiza kwa sababu wewe ni moja ya waathirika wa matukio mabaya ya Makonda. Sisi tukiangalia Makonda hajamtukana mtu yeyote ambaye hana makosa. Kinachotokea wale wasiokuwa na maadili, wazembe lazima wakutane na mkono wake. Ni muhimu kutambua maendeleo hayaji kwa kuchekeanaKwa hiyo unaamini matatizo yanaisha kwakutukana na kuwadhalilisha watu?
Umewahi kumsikia Rais akimtukana mteule wake aliyevurunda?
Mke wake anahusika vipi kwenye kazi? Kwa hiyo kuwatukana waliopo chini yake ndio maji yametoka? Ndio huduma za afya zimepatikana?
Tusitetea ujinga, mtu yeyote mwenye akili timamu awezi kushangilia matusi na udhalilishaji wa aina ile.