Pre GE2025 Makonda anatoa wapi kiburi cha kuidharau Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora?

Pre GE2025 Makonda anatoa wapi kiburi cha kuidharau Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
1721468196929.jpeg

Makonda amekaidi wito wa tume ya haki za binadamu na utawala bora, kiburi ameitoa wapi, Rais anachukuliaje hizo dharau? Km vp hiyo tume ifutwe au imeundwa kwa ajili ya kina nani. Makonda hafai kuwa kiongozi mkubwa, yupo kupumbaza wajinga.

Pia soma: Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yamkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Paul Makonda
 

Attachments

  • makonda.jpg
    makonda.jpg
    11.7 KB · Views: 7
  • 1721468148056.jpeg
    1721468148056.jpeg
    7.5 KB · Views: 8
  • 1721468178421.jpeg
    1721468178421.jpeg
    7.9 KB · Views: 8
Tume nyingi za kuhalalisha poshooo!

Kiserikali mtu unayemzidi cheo Hana ubavu wa kukuhoji.....

Hiyo tume kama imemsafusha gekulu ikatwe nyuma yote
 
Tume nzima inamuajibisha Makonda tu, vipi suala la Kombo, IGP hatakiwi kuajibishwa?
 
Iyo tume ni jicho la kumchungulia mpinzani sio mzani wa haki Kwa watu wote
 
Wamarekani walisema Makonda ni muuaji mbona hiyo tume haikumwita Bashite?
 
Makonda sio Kiongozi wa Kuchaguliwa na wapiga kura-Anawekwaje kwenye jukwaa la Kuelekea kwenye Uchaguzi 2025? 🤔🧐

Awali ya yote, mada 'imebubujikwa" na Uwongo...Makonda ameidharau vipi Tume? Je, kuna ushahidi kwamba ameidharau?

itoshe kusema Tume haina meno, yaani Tume haishughulikii uwajibishaji.

Tusidanganyane
 
Makonda sio Kiongozi wa Kuchaguliwa na wapiga kura-Anawekwaje kwenye jukwaa la Kuelekea kwenye Uchaguzi 2025? 🤔🧐

Awali ya yote, mada 'imebubujikwa" na Uwongo...Makonda ameidharau vipi Tume? Je, kuna ushahidi kwamba ameidharau?

itoshe kusema Tume haina meno, yaani Tume haishughulikii uwajibishaji.

Tusidanganyane
Kulikuwa na nini hadi kufikia hatua hii? Sijawahi kusikia Makonda kuitwa na Tume ya haki za binafsmu, sikusikia hearing yoyote, ghafla nasikia tu Makonda anedharau Tume. What's happening?
 
Kulikuwa na nini hadi kufikia hatua hii? Sijawahi kusikia Makonda kuitwa na Tume ya haki za binafsmu, sikusikia hearing yoyote, ghafla nasikia tu Makonda anedharau Tume. What's happening?
What is Happening?

Upotoshaji na Siasa za nusu ukweli.

Swali langu langu ni jinsi gani hii mada imepitaje pitaje na kuwekwa kwenye "Kuelekea uchaguzi 2025.

Makonda is not an elected official and neither is there a correlation between what has transpired and Elections.

Is Jamiiforums in cohorts with spin doctors and or perpetuating Misleading Information and Disinformation?

...Is hard to tell.
 
What is Happening?

Upotoshaji na Siasa za nusu ukweli.

Swali langu langu ni jinsi gani hii mada imepitaje pitaje na kuwekwa kwenye "Kuelekea uchaguzi 2025.

Makonda is not an elected official and neither is there a correlation between what has transpired and Elections.

Is Jamiiforums in cohorts with spin doctors and or perpetuating Misleading Information and Disinformation?

...Is hard to tell.
Kuelekea uchaguzi jimbo la Arusha mods hawajakosea.
 
Back
Top Bottom