Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Makonda alimtabiria SSH huu urais alionao sasa. Aliiva vizuri na rais mtarajiwa. Kama ulikuwa ni shabiki mmojawapo wa wale walionyanyaswa na JPM jipange haswa.
Nadhani nguvu ya rais aliyeapa umeshaiona kwa Ndugai na jeuri yake yote ya awamu ya tano. Rais anayekuwa ameapa ana nguvu na ushawishi mwingi sana.
Nadhani nguvu ya rais aliyeapa umeshaiona kwa Ndugai na jeuri yake yote ya awamu ya tano. Rais anayekuwa ameapa ana nguvu na ushawishi mwingi sana.