jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kubenea anatafuta tu kesi za madai ili apate kitu chochote kile in return! Kama kweli Yuko na vielelezo halisi vya madai yake kua Makonda ana Jinai ayapeleke kituo chochote cha police hata kidogo,na Nina hakika wahusika watapata taarifa na kulifanyia kazi Mara moja! Na Kama yeye anaogopa basi anipe Mimi hivyo vielelezo vya Jinai na nitaviwasilisha kwa wahusika na vitafanyiwa kazi!! Tuishi kwa Imani!!!Utetezi wakijinga.mbinguni ulishafika wewe?.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app