Kubenea anatafuta tu kesi za madai ili apate kitu chochote kile in return! Kama kweli Yuko na vielelezo halisi vya madai yake kua Makonda ana Jinai ayapeleke kituo chochote cha police hata kidogo,na Nina hakika wahusika watapata taarifa na kulifanyia kazi Mara moja! Na Kama yeye anaogopa basi anipe Mimi hivyo vielelezo vya Jinai na nitaviwasilisha kwa wahusika na vitafanyiwa kazi!! Tuishi kwa Imani!!!Utetezi wakijinga.mbinguni ulishafika wewe?.
Polisi wote wanamtii nani atamkamata ?Mahakama ya Tanzania Sijui imekosa nguvu Kwa sababu ya chama au Kwa sababu ya serikali au Jaji mkuu ameshindwa kuwapa Imani waliopo chini yake?
Raia anaitwa na Mahakama yupo Kigamboni au Masaki anagoma kufikia mahakani Wala kutuma mwakilishi na uongozi wa Mahakama upo kimya.
Hakimu anadai anapeleka tangazo kwenye mbao za matangazo na nyumbani Kwa mtuhumiwa. Je, watuhumiwa wote wanafanyiwa haya? Au Kuna watanzania daraja A na B?
Mahakama inalega Hadi wanyonge wanaiona siyo sehemu ya HAKI. Polisi wapo, wanashindwa kumkamata?
Anapaswa akamatwe kwa kudharau mahakamaAcha UCHAWA ,Jacob Zuma alikaidi wito wa mahakama,hatimaye mahakama ikatoa amri akamatwe.
Hakuna namna
Polisi wapi?Kubenea anatafuta tu kesi za madai ili apate kitu chochote kile in return! Kama kweli Yuko na vielelezo halisi vya madai yake kua Makonda ana Jinai ayapeleke kituo chochote cha police hata kidogo,na Nina hakika wahusika watapata taarifa na kulifanyia kazi Mara moja! Na Kama yeye anaogopa basi anipe Mimi hivyo vielelezo vya Jinai na nitaviwasilisha kwa wahusika na vitafanyiwa kazi!! Tuishi kwa Imani!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Police ndiyo wanapeleleza kesi zote za Jinai!!Polisi wapi?
Hawawezi kitu