Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Mwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.

Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.

Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?

View attachment 2895876
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.

Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizika wapi mwili wa Ben Saanane
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Usiwe mjinga! Mahakama gani? Hivi hujui mahakama ni chawa wa serikali.

Jaji Mkuu Prof. Juma ni kibaraka wa serikali na amesha tamka wazi kuziamrisha mahakama zisipingane na serikali katika maamuzi yake!

Sasa kuna mahakama hapo au genge la waganga njaa?
 
Usiwe mjinga! Mahakama gani? Hivi hujui mahakama ni chawa wa serikali.

Jaji Mkuu Prof. Juma ni kibaraka wa serikali na amesha tamka wazi kuziamrisha mahakama zisipingane na serikali katika maamuzi yake!

Sasa kuna mahakama hapo au genge la waganga njaa?
Kwani kesi si zilifunguliwa na kubenea Zilifika wapi?
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Kuna wakati ni vema ukakaa tu kimya kama huna cha kuandika. Unadhani huko mahakamani watu wanapelekwa tu kama mifugo?
 
Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.

Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizikwa wapi mwili wa Ben Saanane
Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.
 
Back
Top Bottom