Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeeeMwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Magu mdogo 😄Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Usiwe mjinga! Mahakama gani? Hivi hujui mahakama ni chawa wa serikali.Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Kwani kesi si zilifunguliwa na kubenea Zilifika wapi?Usiwe mjinga! Mahakama gani? Hivi hujui mahakama ni chawa wa serikali.
Jaji Mkuu Prof. Juma ni kibaraka wa serikali na amesha tamka wazi kuziamrisha mahakama zisipingane na serikali katika maamuzi yake!
Sasa kuna mahakama hapo au genge la waganga njaa?
Hata mimi nashangaaMwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
Hata Kinana atashangaaMwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.
Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?
View attachment 2895876
😂😂😂😂😆😆😆🤣😂
Kuna wakati ni vema ukakaa tu kimya kama huna cha kuandika. Unadhani huko mahakamani watu wanapelekwa tu kama mifugo?Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Kuna wakati ni vema ukakaa tu kimya kama huna cha kuandika. Unadhani huko mahakamani watu wanapelekwa tu kama mifugo?
Yaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.Magu mdogo 😄
Mjibu = mujibu, bibulia = biblia. Wewe mrundi rudi kwenuYaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.
Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.
Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizikwa wapi mwili wa Ben Saanane
Yaaaaani utapeli wenu na propaganda zenuu juuu ya makonda mtaaibikaaa. BIBULIA inasema, watapigana nawe hawatakushinda. Campuni ya ufipa mumekamatika.Mjibu = mujibu, bibulia = biblia. Wewe mrundi rudi kwenu