Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kama mkuu wa mkoa yupo hivyo hao wananchi watakuwaje 😂Huyo ndio mkuu wenu wa mkoa 😂😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mkuu wa mkoa yupo hivyo hao wananchi watakuwaje 😂Huyo ndio mkuu wenu wa mkoa 😂😁😁
Kama yako vile ☺Hujawahi kutana na watu wenye sauti ndogo na nyembamba?
Kurudia vile,kunahusiana na nini na mchumba? Mke mzuri,ameongelewa kusaidia nini kwenye hizo hoja? Anamzidi yupi hapo? Aongeae hapo nae ni mzuri kwa mtu mwingineAliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
😂😂😂 we mzalishaji kazalishe uwape kazi majobless.Watanzania wamepata mada ya kupotezea muda. Watz hawana muda wa kuzalisha ni wavivu na majobless. Wamepata jambo la kutumia bando. Hamna udhalilishaji pale. Kile chama kilichotoa tamko nacho hakina agenda na vitu vya kufanya.
Chuki tu hizoAkiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Atashutakiwa na nani?Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Ni zaidi ya jqmbaziMakonda hafai kuwa kiongozi wa umma
Inaumiza sana masikini mama wa watu kidogo aangushe kipaza sauti kwa machungu.Angekuwa mke wako ungesema hivi Mkuu?
Kinacho mtafuna Makonda ni malezi yake utotoni na malezi aliyopewa na Jiwe.Kila kitu kina utaratibu wake, kama alikuwa hamsikii angemwambia kistaarabu aongeze sauti, sio kumjibu kama alivyomjibu
Mkuu mtu kama huna maadili kamwe huwezi kuona aibuHuyo baba anaropoka sana… anajitia aibu, sijui mkewe hamwambii?
Hao ndiyo vijana wa lumumba wao kazi yao ni kuwatetea wanaoyatimbaHuyo baba ni mjomba wako?
Hujisikii aibu kumtetea? Au hujaona hiyo clip?
Kuna watu wana sauti ndogo sana
Anamwambiaji aongeze sauti sjui asimrembee km anatoa posa bla bla mke wake this mke that. Vina mahusiano gani ktk mahojiano??
Angemwambia tu weka maiki vizuri mdomoni ili usikike, asingeeleweka?
Ninazalisha sana mpendwa😂😂😂 we mzalishaji kazalishe uwape kazi majobless.