Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Mkuu, kumwita mtu ni Mpumbavu (Stupid)manake huyo mtu akili yake, kufikiri kwake na mang'amuzi yake vimefikia ukomo (limit) kama ulivyobainisha hapo juu kwamba haelewi tena. i.e. hata ufanyeje hawezi kufundishika tena, ni kilema chake hicho. That's too bad. Ni tusi hilo.
Sio tusi, ni kilema chake hicho!
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

Angeropoka Lissu ingeonekana ni kauli ya kikamanda!
 
Dada nae angesema ana mume wake nyumbani? Hivyo ndivyo kazi zinafanyika?
Ni kweli, ingekuwa nje ya mada lakini siyo big deal kiasi hicho.

Mimi nimesikia kelele za udhalilishaji nikadhani labda konda boy kamshika mtu matiti bila ridhaa yake, kumbe ni kumwambia kuwa ana mke, ndio anataka kushtakiwa, kufukuzwa kazi na kufungwa?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Domo la makonda huwa halinaga break, huyu hana sifa ya uongozi mnayompaga. Anafaa kuwa afande tena cheo cha Koplo na si zaidi.
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?



Kama hakushtakiwa kwa uhalifu wa Silaha atashtakiwa kwa hili? Mnapoteza mda wenu.
 
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.

Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!

Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?

Hafai kuwa kiongozi kwa kweli ni too much kila siku anaharibu tu sometimes mtu hadi unamchukia aliomteua
 
Wafanyakazi wa aina ya huyi dada ndio wanaofanya watu wa Aina ya Makonda kukubalika sana
 
Back
Top Bottom