Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Tutaona mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanakwa ccm ya sasa eti huyo ndio kuongozi wa mfano eti!
Sio tusi, ni kilema chake hicho!Mkuu, kumwita mtu ni Mpumbavu (Stupid)manake huyo mtu akili yake, kufikiri kwake na mang'amuzi yake vimefikia ukomo (limit) kama ulivyobainisha hapo juu kwamba haelewi tena. i.e. hata ufanyeje hawezi kufundishika tena, ni kilema chake hicho. That's too bad. Ni tusi hilo.
KabisaAkili kama hizi za kudharau wanawake au maoni ya wengine kwa sababu ya cheo au jinsia ndio maana Taifa lina watu wajinga watupu
Angeropoka Lissu ingeonekana ni kauli ya kikamanda!Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Yaani dogo wa miaka 19 awatoe jasho ndio muweze kumzingua Mkuu wa Mkoa ?Kuna mradi wangu kule mererani siku akija kuharibu tutaruka nae aisee huyu jamaa mzinguaji sana asituchukulie poa sisi watu wa chuga
Naomba kuuliza, hivi ukimwambia mwanamke kuwa nina mke nyumbani unakuwa umemdhalilisha.Huyo baba anaropoka sana… anajitia aibu, sijui mkewe hamwambii?
Dada nae angesema ana mume wake nyumbani? Hivyo ndivyo kazi zinafanyika?Naomba kuuliza, hivi ukimwambia mwanamke kuwa nina mke nyumbani unakuwa umemdhalilisha.
Ni kweli, ingekuwa nje ya mada lakini siyo big deal kiasi hicho.Dada nae angesema ana mume wake nyumbani? Hivyo ndivyo kazi zinafanyika?
Weusi ndiyo ubaya?Mbona unakuwa na akili finyu na za kijinga hivyo?Umenisikitisha sana.Ukweli usemwe ila yule dada ni mbaya..mweusi TIIIIIIII.
Black is beauty 👁🔥Ukweli usemwe ila yule dada ni mbaya..mweusi TIIIIIIII.
And,he has to put it unto his failure account.Black is beautiful!Black is beauty 👁🔥
Koplo aringe?Domo la makonda huwa halinaga break, huyu hana sifa ya uongozi mnayompaga. Anafaa kuwa afande tena cheo cha Koplo na si zaidi.
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Hafai kuwa kiongozi kwa kweli ni too much kila siku anaharibu tu sometimes mtu hadi unamchukia aliomteuaAkiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?