Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Huyu angejichanganya kwangu angeishia kuniweka ndani!Ukiangalia una ona kabisa ni zero brain, na anaeolewa na zero brain unadhani yukoje? Ndege wafananao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu angejichanganya kwangu angeishia kuniweka ndani!Ukiangalia una ona kabisa ni zero brain, na anaeolewa na zero brain unadhani yukoje? Ndege wafananao...
InawezekanaBASHITE mwenyewe punga tu
Huyo Makonda ni mdhalilishaji mpaka kwa mkewe. Hawezi kumshauri chochote. Kuna wakati nilienda Serengeti mbuga ya wanyama. Wakati naandikisha details langoni ili niingie hifadhini, story kubwa miongoni mwa wahudumi wa pale langoni ilikuwa ni jinsi Makonda alivyomdhalilisha mkewe hapo langoni jana yake. Sikutaka hata kujua details za tukio lenyewe. Kila mmoja miongoni mwa wale wahudumu alitoa lake, lakini mmojawapo alisema, 'mimi mwanaume wa hivyo hapana. Ikitokea kwa bahati mbaya nimempata wa hovyo hivyo, siwezi kusafiri naye maana ukikosa uvumilivu mtajidhalilisha mbele ya watu"Kila kitu kina utaratibu wake, kama alikuwa hamsikii angemwambia kistaarabu aongeze sauti, sio kumjibu kama alivyomjibu
kwa ccm ya sasa eti huyo ndio kuongozi wa mfano eti!Makonda hafai kuwa kiongozi wa umma
Ya bandarini umeyasahau?au wizi ni halali kwa watu fulani tu!HAKUNA HURUMA NA WEZI WA MALI ZA UMMA NANI ALIMWAMBIA ATUMIE HELA YA WALIPA KODI KAMA YA KWAKE?
Kwani hapo wameongelea kodi.... 😀HAKUNA HURUMA NA WEZI WA MALI ZA UMMA NANI ALIMWAMBIA ATUMIE HELA YA WALIPA KODI KAMA YA KWAKE?
Hovyo wewe ni mkombozi wa nini huyo? unajua chochote juu ya utawala wa sheria wewe? unajua jinsi serikali inavyofanya kazi? unajua haki za watumishi ? unajua hawa watu wakati mwingine hawana hata mafuta ya kwendea field? mnaleta mihemko na kuandika ujinga ambao hamuwezi hata kuutetea? angekuwa mamako ndo anafanyiwa haya ungefurahi? anayeiba si anapelekwa mahakamani?MWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Hoja ya kuwa ni Mke wake ni huko nyumbani lakini akiwa kazini au Ofisini huyo ni mtumishi wa Serikali au umma.Angekuwa mke wako ungesema hivi Mkuu?

Dada pisi kali anataka kuposa mkuu wa mkoa 🤣🤣🤣🤣. CCM inakiwa iwe na kina makonda kama 50 hivi mambo yatakuwa burdaani.Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Mkuu; Kutanguliza makasiriko sio suluhisho ya kilichotokea. Wenye busara waliwahi kusemaga hv: "Mkubwa hakosei" na wengine walisema: "Funika kombe mwanaharamu apite" Huyo mwanakamati ametumia busara kubwa sana kwa kukaa kimya na kutokutoa majibu kwa kile ww unachokiita "udhalilishaji".Hovyo wewe ni mkombozi wa nini huyo? unajua chochote juu ya utawala wa sheria wewe? unajua jinsi serikali inavyofanya kazi? unajua haki za watumishi ? unajua hawa watu wakati mwingine hawana hata mafuta ya kwendea field? mnaleta mihemko na kuandika ujinga ambao hamuwezi hata kuutetea? angekuwa mamako ndo anafanyiwa haya ungefurahi? anayeiba si anapelekwa mahakamani?
Acha upumbavu!Hayo ni mambo yenu ya kike muyamalize huko huko Longido
Dah! Nashauri usingelimtukana 👆 👆 👆 bali ungemwelewesha ni kwa namna gani jibu alilotoa kwa kweli sio sahihi. Angelijifunza.Acha upumbavu!
Kumbe na wewe ni mpuuzi!Aliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
Upumbavu sio tusi! Na ujue mpumbavu huwa haelewi tena!Dah! Nashauri usingelimtukana 👆 👆 👆 bali ungemwelewesha ni kwa namna gani jibu alilotoa kwa kweli sio sahihi. Angelijifunza.
OK; Kwani kulikuwa hakuna kipaza sauti? Watu wanatofautiana katika kuonea- wengine ni wapayukaji, wengine sauti kama yote lakini wengine ndo hivo tena Sauti yao kimaumbile ni ndogo na ukizingatia huyo bwana ni mwenye vitisho, hiyo pengine iliweza pia kuchangia sauti kuwa hafifu zaidi.Aliambiwa mara nyingi aongeze sauti.Wacheni kutetea ujinga.Unapotakiwa kutoa maelezo ili wananchi wakusikie inabidi uzungumze kwa sauti ili usikike.Alihimizwa azungumze kwa sauti mara zaidi ya mbili akawa anarudia vile vile.
Mkuu, kumwita mtu ni Mpumbavu (Stupid)manake huyo mtu akili yake, kufikiri kwake na mang'amuzi yake vimefikia ukomo (limit) kama ulivyobainisha hapo juu kwamba haelewi tena. i.e. hata ufanyeje hawezi kufundishika tena, ni kilema chake hicho. That's too bad. Ni tusi hilo.Upumbavu sio tusi! Na ujue mpumbavu huwa haelewi tena!