Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mimi sipatani na wababa wabonge 🥹Kajitongozeshe uwe mke wake umwambie anajitia aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sipatani na wababa wabonge 🥹Kajitongozeshe uwe mke wake umwambie anajitia aibu.
Aishie huko huko mjiniHuyo ndio mkuu wenu wa mkoa 😂😁😁
Alikuwa anatumia microphone.Baada ya muda mbona alizungumza na akaeleweka?Hujawahi kutana na watu wenye sauti ndogo na nyembamba?
Kwa hiyo kwako imekuwa personal?Mimi sipatani na wababa wabonge 🥹
Hahahaha, Dereva wake sio kibonge, pita nae atakusaidia kufikisha ujumbeMimi sipatani na wababa wabonge 🥹
Kuna mradi wangu kule mererani siku akija kuharibu tutaruka nae aisee huyu jamaa mzinguaji sana asituchukulie poa sisi watu wa chugaAishie huko huko mjini
Tuliojificha nje na mji hatuhusu
Wewe nae unakurupuka tu.Mirerani una mradi na hujui hata ipo Mkoa gani?Nataraji utakuwa hata umeambiwa Mirerani ipo Mkoa wa Manyara.Au na wewe ni wale wafuata mkumbo tu?Kuna mradi wangu kule mererani siku akija kuharibu tutaruka nae aisee huyu jamaa mzinguaji sana asituchukulie poa sisi watu wa chuga
Uliponikwoti hujaona alichoniambia ndiyo nikajibu vile? Nothing personal Mr.Kwa hiyo kwako imekuwa personal?
Umemlaumu kwa ku comment kuhusu sauti ya huyo aliyekuwa akihojiwa na wewe unazungumzia mwili wake.Ndio maana nikauliza.Uliponikwoti hujaona alichoniambia ndiyo nikajibu vile? Nothing personal Mr.
Unamwambia nani sasaWewe nae unakurupuka tu.Mirerani una mradi na hujui hata ipo Mkoa gani?Nataraji utakuwa hata umeambiwa Mirerani ipo Mkoa wa Manyara.Au na wewe ni wale wafuata mkumbo tu?
Mkombozi gani mpumbavu huyu! Huo udhalilishaji haukubaliki kwa civilised people labda kama hujitambui! SASa hivi kwenye hizi kazi kuna ethics and compliance hili bomu halifai kuwa kiongozi la umma! Hawa ndio walipigwa chuma na mee Mwamwindi my hero!MWACHE AHOJIWE NA ANATAKIWA ATOE MAJIBU SIYO KUMUNGUNY AMANENO WAMEIBA SANA MKOMBOZI KAINGIA ARUSHA WACHA WANYOROSHWE BADO LEMA
Aliyejibu nani?Au umekurupuka tu kujibu?Unamwambia nani sasa
Kuna comment huko juu mtu kaniambia nijitongozeshe kwa Makonda ili niwe namshauri asiwe anaropoka.Umemlaumu kwa ku comment kuhusu sauti ya huyo aliyekuwa akihojiwa na wewe unazungumzia mwili wake.Ndio maana nikauliza.
Huyu jamaa nae ni wale wale usimjibu achana naeUliponikwoti hujaona alichoniambia ndiyo nikajibu vile? Nothing personal Mr.
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
Wewe ndio ulikuwa wakwnza kujibu au umesahau mkuuAliyejibu nani?Au umekurupuka tu kujibu?
viongozi wenye dhamana ya kuwatumikia wanainchi ni Lazima kuwajibika ipasavyo bila kujali jinsia, utanashati wala urembo....Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua.
Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda alimwamvia haongei na mchumba wakw bali wananchi, nina mke mzuri nyumbani!
Kwamba alokuwa anaongea kwa lengo la kumtega? Na yeye angemjibu nina mume handsome nyumani angekuwa amekosea? Maadili ya kazi yanasemaje? Hata kama unamhoji mtu ameiba ndio unatakiwa umdhalilishe namna hiyo?
View attachment 2998156