Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

Hujawahi kutana na watu wenye sauti ndogo na nyembamba?
Mbona mara ya pili sauti ilitoka na akaanza kuzungumza vema?.

Tukubaliane tu kuwa Makonda ametumia maneno ya hovyo katika kumtaka azungumze kwa sauti.

Ila swala la sauti ndogo, huyo mwanamama hana sauti ndogo. Pengine aliingiwa na hofu wakati wa kuhojiwa.
 
Niliposikitika staili ilele ilitumika na kamishina wa ardhi arusha akiwa arusha mjini

Yule demu alikuwa anaongea kama anakazwa na kumrembulia makonda ,makonda alishia kutabasamu

Jana
Kakutana na sura ngumu ya demu engineer wilaya ,akamtusi wakati alichofanyiwa arusha kilekile ,hakutukana
 
Mbona mara ya pili sauti ilitoka na akaanza kuzungumza vema.

Tukubaliane tu kuwa Makonda ametumia maneno ya hovyo katika kumtaka azungumze kwa sauti.

Ila swala la sauti ndogo, huyo mwanamama hana sauti ndogo. Pengine aliingiwa na hofu wakati wa kuhojiwa.
Hakuna kuwatetea wafujaji na wazembe.Huu utamaduni wa kutetea uzembe na kutowajibika ndio kumefanya watanzania wengi hawawezi kufanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa.Akisemeshwa mtu anakimbilia kusema ni unyanyasaji.Watu wanasema uongo wanachelewesha miradi kwa makusudi ili waingize pesa kwenye mifuko yao.Ikikemewa wanakuja so called civilised people ohh pale angetumia lugha laini.Akitumia lugha laini ohh huyu ni kiongozi dhaifu.Wazembe na wafujaji na wabadhirifu China wananyongwa hapa tunawatetea halafu wakiiiba tunapiga kelele kwanini hatua hazichukuliwi.
You have to choose you cannot have your cake and eat it too.
 
Huyo baba ni mjomba wako?
Hujisikii aibu kumtetea? Au hujaona hiyo clip?
Kuna watu wana sauti ndogo sana
Anamwambiaji aongeze sauti sjui asimrembee km anatoa posa bla bla mke wake this mke that. Vina mahusiano gani ktk mahojiano??
Angemwambia tu weka maiki vizuri mdomoni ili usikike, asingeeleweka?

Two things that men must never mention in public unnecessarily, your money and your wife.
 
Angekuwa mke wako ungesema hivi Mkuu?
Matatizo makubwa wanayo hao wanaohojiwa. Watu wazima, wengine ni wasomi wazuri wana familia zao lakini wanaonyesha kumwogopa huyu mpumbavu tena kilaza mwenye elimu ya mchongo. Wangekuwa wanajiamini na kumpa majibu yanayostahili wala asingethubutu kuendelea na huu ujinga. Ndiyo maana mimi niliapa hizi kazi za kuteuliwa au kuajiriwa kwenye serikali ya Tanzania, sitaki. Bora niwe mkulima wa jembe la mkono. Nasema hivi kwa sababu nina uhakika kwa asilimia zote angeingia kwenye anga zangu na kufanya kebehi anayofanya siku hiyo hiyo wangenifukuza kazi lakini baada ya kumpa maneno yanayomfaa.
 
Back
Top Bottom