Makonda atafuta staili ya kuingilia Arusha!

Ana vituko ndio maana anazungumzwa.
 
Reactions: Tsh
Lema mtu mkubwa Sana. Yani analetewa Mkuu wa Mkoa wa kushughulika naye na sio maendeleo.
kama anakua kitovu cha kukwamisha mandeleo iwe kwa kupandikiza chuki nk kuna ubaya gani kushulikiwa
 
Angekuwa makini angemwagwa kwenye uenezi? Mtu makini anachuja maneno yake kabla hayajamtoka mdomoni kwake. Domo ponza kichwa.
 
Aingie na tenga la Mirungi tu
 
Arusha ni mkoa wakipekee hawezi akija atulie tu ale mema ya nchi wengi wanakuja na vurugu mechi . Wanatulizwa na madola,mawe. Naye atatulia tu . Tulii mtamwona
 
Aingie na majani ya bangi
 
Aingie utupu labda ndio itakuwa ajabu hayo mengine yote ni ya kawaida sana.

Na akiingia utupu hatabaki salama na vijana wa Chuganstan.
 
Hiyo ya kwanza kwenye picha inafaa.
 
Hapa atakua ametia nanga kibingwa zaidi.
 
Aingie na ile style ya chugga dance
 
Kiuhalisia ingawa hataki anaitwa Daudi Albert Bashite (DAB)!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…