Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Movies tu izi tuendelee kuangalia si ndo tumechagua haya maneno
 
Sheria ni msumeno atii bila kulialia hata aende wap yatapigwa mnada tu namba moja wakimwambia huyu mtu hafai anamtetea ona sasa anavyomuabisha masuala ya kodi na kanisani wap na wap jamani?
 
Wewe ni mwansheria uchwara kama uchwara yoyote yule. Mhalifu aliyetishia vyombo vya serikali vinavyotekeleza majukumu yake anaombwa? Siyo kuwa anachukuliwa sheria?
 
Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Nenda kanisani ukasaidie kulia, acha kelele zisizo na msingi hapa
 
Ukweli ni kwamba raia yeyote anayeingilia mnada wa TRA (katika kukusanya madeni ya kodi) na kuwatisha washiriki wasinunue bidhaa kwenye mnada anafanya kosa la jinai.
Ninaamini angekuwa ni sisi kina yakhe tumechimba biti mnada wa TRA tungeshaonyeshwa kwenye press conferrence ya Kamanda Mambosasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam! shoka mfupani utamu wake is now expressed to rc lakini huyu si alivamia clouds tv si aende huko tra au bandarini akapore hayo mankontena?
 
Kama kweli ni vifaa vya mashuleni basi TEA walipie hizo kodi na kugawa kwenye shule zenye mahitaji ya vifaa hivyo
TEA wanaweza kulipa vifaa ambavyo hawajaagiza?Tena vimekuja kwa jina la Makonda!
 
Makanisa yetu yamekua makanisa ya ajaaabu sana
 
Naam! shoka mfupani utamu wake is now expressed to rc lakini huyu si alivamia clouds tv si aende huko tra au bandarini akapore hayo mankontena?

hahaaa aende na silaha nje nje kama akina harmorapa hawajakimbia..yeye kuchukua makontena kilainii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…