Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi wenye wivu Ni traNilichogundua katika Uzi huu..wengi mna wivu na muheshimiwa makonda, !!
Ni thamani za kifahari tu
Wewe ni mwansheria uchwara kama uchwara yoyote yule. Mhalifu aliyetishia vyombo vya serikali vinavyotekeleza majukumu yake anaombwa? Siyo kuwa anachukuliwa sheria?Taarifa huripotiwa kwenye vyombo vya habari kama runinga, redio, magazeti, majarida na mitandao ya kijamii. Iliporipotiwa taarifa ya uingizwaji na uwepo wa makontena yenye jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda mwanzoni iliripotiwa kuwa Makonda 'aliyakana' makontena hayo.
Baadaye, ripoti zinadokeza kuwa RC Makonda 'aliyatambua' makontena hayo yaliyokuwa mikononi mwa TRA na kudai kuwa yalikuwa na samani za shule za mkoa wa Dar es Salaam. 'Akatishia' hata 'kuwashtaki' TRA kwa Rais. Mambo yakawa kimya hadi sasa inaporipotiwa kuwa TRA wamejaribu kuyapiga mnada bila mafanikio.
Sasa inaarifiwa kuwa RC Makonda amekwenda kanisani 'kufanya maombi maalum' ya kukwamisha mnada wa makontena yake. Ametishia kuwa yeyote ambaye atayanunua atapata laana! Kimsingi, ni Dhahiri sasa kuwa RC Makonda anayatambua na kuyapigania makontena yake. Makontena hayo yana nini hasa? Kwanini yalikuja kwa jina lake?
Namsihi RC Makonda, katika hili la makontena yanayoshikiliwa na TRA, aeleweke. Aiache TRA ifanye kazi yake na si kutaka kuionyesha TRA kama iliyo kwenye 'mission' naye kuyahusu hayo makontena. Mnada ufanyike na mambo mengine yaendelee. Namsihi RC Makonda kuacha pia kuwatisha 'kimaombi' wateja wanaotaka kuyanunua makontena hayo.
Kazi njema wakuu wote!
Uwezi kukaa kimya lakini ni lazima uachie sheria ifuate mkondo wake! Unaweza pia kumfuata yeyote aliye juu ya sheria na kumuomba awawajibishe TRA kwa kukusumbua.Mkuu ina maana wewe vitu vyako vikipigwa mnada utakaa kimya?
Nenda kanisani ukasaidie kulia, acha kelele zisizo na msingi hapaWapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Ukweli ni kwamba raia yeyote anayeingilia mnada wa TRA (katika kukusanya madeni ya kodi) na kuwatisha washiriki wasinunue bidhaa kwenye mnada anafanya kosa la jinai.Kwan makonda ni nan hasa kias kwamba awanyime uhuru taasisi kubwa ya kiserikali kufanya kazi zake kwa uhuru?
Kuna mambo mengine viongoz Wetu wanafanya kias kwamba unajiuliza uyu mpaka leo anafanya nin kwann asipangiwe kazi nyingine ya kufanya au apigwe tuu chin..!!!!
Uyo jamaa kwa jinsi magu anavyo mlea ipo siku atakuja toa kauli za dhiaka kwa rais na uwongoz wake....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila MTU yuko chini ya sheriaTatizo hakufuata utaratibu wa sheria, rejea barua kutoka TRA kwenda kwa Waziri Mpango.View attachment 848188
TEA wanaweza kulipa vifaa ambavyo hawajaagiza?Tena vimekuja kwa jina la Makonda!Kama kweli ni vifaa vya mashuleni basi TEA walipie hizo kodi na kugawa kwenye shule zenye mahitaji ya vifaa hivyo
Watu wanaenda kulia wewe unaelekea kushoto kama zuzu.Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Ni vizuri Makonda akaelimishwa kuwa kodi ninjukumubla kila mtu.Apambane tu na hali yake
Makanisa yetu yamekua makanisa ya ajaaabu sanaMkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA
Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali
Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda
"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda
Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake
Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia
Naam! shoka mfupani utamu wake is now expressed to rc lakini huyu si alivamia clouds tv si aende huko tra au bandarini akapore hayo mankontena?
Usifosi tufanane mawazo.
Karma is a bitch.Kweli sheria msumeno... Baada ya kuwakata wanaume walowazalisha na kuwatelekeza wenza wao, leo TRA wanamkata na yeye[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app