Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa mkuu umetisha kama vipi tuchange tu halafu tuyanunue JF ina members mamilioni kila mtu buku 10000 tunayanunua halafu tunagawa kwa watoto yatima basi ...................@Maxence Melo ahamasishe hii kitu
Mbonqa Mwanzoo aliyakataaa!???Kama ni vifaa vya Shule wangemwachia tu, akavisambaze mashuleni au hao TRA wakasambaze mashuleni kuliko kukaa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuyanunue tuanzishe shule ya kiswahili tupu na lugha zetu, kuzienzi tamaduni zetu. Naunga mkono 😂
Kila mmoja wetu ataonja adha ya utawala huu kwa wakati wake. Kwanini hamlilii Malaika wa Mungu akamsaidia maana kwenda kulia kanisani ni kuonyesha kuwa amemsahau huyo malaika anaishi wapi. Yupo Ikulu ya Tanzania, tena kwenye mkoa wake, wa Dar-Es-salaam.Anaweweseka huyu si bure na anavyopenda kulialia sasa.
Jamaa akiambiwa swala la vyeti tu lazima atoe chozi
Hili nalo neno, kwa sababu Mungu hadanganyiki.Hilo dua lilikwenda kwa Mungu kwa jina gani?
Mkwala mavi huo.Mtu anunue bidhaa kwa hela yake, kwa njia halali kabisa tena hadharani: laana inaingiaje hapa???!! Aisee.... Kazi kweli kweli....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ni msumenoKama ni vifaa vya Shule wangemwachia tu, akavisambaze mashuleni au hao TRA wakasambaze mashuleni kuliko kukaa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app