No no protocol za ulinzi na usalama lazima zizingatiwe.Ile video inafikirisha na kutia huruma dah!
[emoji87][emoji87][emoji87]Makonda alitakiw apakaliwe Vaseline halafu ashikishwe ukuta wakata wa ja kali
Kweli kabisaa...!! Jamaa ukute ana kitu anaweza fanyaa maana maisha haya bhana ni shidaa..No no protocol za ulinzi na usalama lazima zizingatiwe.
Huko Zanzibar Raisi wa Zanzibar Abeid Amani Karume alimiminiwa risasi na shemeji yake.
Makonda hayuko kwenye system ya utawala kwa sasa kibaya zaidi hakupewa mwaliko.
Huyo dogo ana makosa nyambata hata mind set yake ina mgogoro.
Zuga tu! Wanajuana hao
Makonda wa juzi sio wa leo,ameisha jichanganya sana na opportunists kwa sasa hatujui kama ni asset for state or liability.Kweli kabisaa...!! Jamaa ukute ana kitu anaweza fanyaa maana maisha haya bhana ni shidaa..
Wanangoja uchaguzi uishe wampe cheo kingine.Wamemtumia vibaya na kwakuwa hiki ni kipindi cha kampeni,watajidai kumtenga ili asiwaathiri na makandokando yake, ila uchaguzi ukiisha,watampa tena nafasi.
Subirini mtakuja kuniambia.
Hata Mimi naamini hivyo.Zuga tu! Wanajuana hao
Kumbe ashaibaa sana mpaka kumjengea baba yake State kabisaa...Mimi najichanga tu pesa nasubir ule mjengo wake wa igoma mwanza uje uchorwe ukutani na bank kuwa inapigwa mnada.
Hata mzee wake anayeishi umo anatusumbuua sana kitaa..tabia kama za mwanaye
Kweli Mkuu hakuna jinsi bora tule "Misumali ya Bati"-Dagaa mwanza na Uji wa chumvi watoto wasome shule nzuri ,ingekuwa enzi zetu ni mwendo wa kayumba tu,sema kwa mazingira ya sasa inabidi mtoto asome mazingira mazuri ili imsaidie kuja kupambana vizuri kitaa.Hahahaaa... Hata kwangu ilitokea vivyo hivyo ila hakuna namna zaidi ya kupambana.
Ni kweli kaka, inatubidi tusiwe na choyo kwa kizazi chetu.Kweli Mkuu hakuna jinsi bora tule "Misumali ya Bati"-Dagaa mwanza na Uji wa chumvi watoto wasome shule nzuri ,ingekuwa enzi zetu ni mwendo wa kayumba tu,sema kwa mazingira ya sasa inabidi mtoto asome mazingira mazuri ili imsaidie kuja kupambana vizuri kitaa.
Sijamuonea huruma na sitakuja kumuonea huruma, kama yeye alivyokuwa anawafanyia wengine, Mungu hampendi mtu mnafiki na mimi naogopa kuchukiwa na MunguToo bad hadi nimeona huruma ...
Mbona akina Kikwete, Pinda, Lowassa na Sumaye walikaa jukwaa kuu!Alitaka akae jukwaa kuu wakati yeye siyo kiongozi ??
Kuna nini mkuu embu tujuzeUnajua siri iliyopo hadi Magufuli kuhutubia mkutano mchana? Tulieni mambo ni magumu sana huko