Makonda bado ana kidonda cha kutengwa, kutwezwa na kususwa na system pamoja na marafiki zake. Kazi ya uenezi itamshinda

Makonda bado ana kidonda cha kutengwa, kutwezwa na kususwa na system pamoja na marafiki zake. Kazi ya uenezi itamshinda

Mtanyooka tuu maana namna mmeanza Ramli chonganishi baada ya kuona uteuzi wake ukilitetemesha Taifa kwa furaha na kuteka anga la siasa za hapa nchini na nje ya nchi.makonda ndio dawa ya upinzani uchwara wa hapa nchini uliozoea kuokoteza vihabari vya vijiweni. Anakwenda kuwasambaratisheni majukwaani na kila kona ya nchi yenu .anakwenda kula nanyi sahani moja mpaka mpige magoti kuomba msamaha .huo ndio uteuzi na mtu aliyesubiliwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania kuona Makonda akirejea uongozini.kiukweli karejea kwa kishindo kikubwa sana kilicholeta mtikisiko katika mioyo ya upinzani



Kumzidi JPM ?

Yuko wapi sasa?

Tumuogope Mwenyezi Mungu.
 
Kumzidi JPM ?

Yuko wapi sasa?

Tumuogope Mwenyezi Mungu.
Kwani mtu kufa ndo kumzidi basi kama ni hivyo akina Mengi unawazidi na wote waliokufa wewe unawazidi hadi Babu zako!
Si anafamilia yake vipi wewe unafamilia yenye mafanikio kama ya JPM?
Wewe Nguruwe pori na akaunti yako uchwara humu nani anakujua?
 
Kabla ya kumpa uenezi angepewa japo uRC ambao ungempa nafasi ya kujenga urafiki na ukaribu na viongozi mbalimbali ambao walikuwa wanamkatia simu ama kugoma kupokea simu zake.

Makonda ana hasira na watu wengi ambao anapaswa kufanya nao kazi kwa sasa. Hivyo itakuwa ngumu kwa yeye kupata ufanisi. Hatowaamini tena watu hawa, na hatokuwa huru kuonesha umahiri wake kikamilifu.

Mtu sahihi ambaye yuko pending lkn anapendwa na anaiweza kazi ya uenezi ni Humphrey Polepole.
Makonda kama ana akilo kama zangu, elimu aliyoipata ni zaidi ya PhD

Angepaswa kuwa binadamu bora, mnyenyekevu na aliyekamilika.
 
Mtanyooka tuu maana namna mmeanza Ramli chonganishi baada ya kuona uteuzi wake ukilitetemesha Taifa kwa furaha na kuteka anga la siasa za hapa nchini na nje ya nchi.makonda ndio dawa ya upinzani uchwara wa hapa nchini uliozoea kuokoteza vihabari vya vijiweni. Anakwenda kuwasambaratisheni majukwaani na kila kona ya nchi yenu .anakwenda kula nanyi sahani moja mpaka mpige magoti kuomba msamaha .huo ndio uteuzi na mtu aliyesubiliwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania kuona Makonda akirejea uongozini.kiukweli karejea kwa kishindo kikubwa sana kilicholeta mtikisiko katika mioyo ya upinzani
Uchwara nao wanahitaji kusambaratishwa? Au unachokiandika haukijui?, Hivi Arsenal au Man u inahitaji kwenda kambi nzito ya mabilioni ili kuishinda simba au Yanga.
 
Kabla ya kumpa uenezi angepewa japo uRC ambao ungempa nafasi ya kujenga urafiki na ukaribu na viongozi mbalimbali ambao walikuwa wanamkatia simu ama kugoma kupokea simu zake.

Makonda ana hasira na watu wengi ambao anapaswa kufanya nao kazi kwa sasa. Hivyo itakuwa ngumu kwa yeye kupata ufanisi. Hatowaamini tena watu hawa, na hatokuwa huru kuonesha umahiri wake kikamilifu.

Mtu sahihi ambaye yuko pending lkn anapendwa na anaiweza kazi ya uenezi ni Humphrey Polepole.
Huyo ndiyo anafaa haswa kwa kazi hiyo kukabiliana na wapiga porojo wa upinzani. Hao waliomtenga utaona wanachomolewa mmoja mmoja ili timu nyengine yenye sura ya kimagufuli iingie. Uchaguzi ujao bila karata ya JPM hawatoboi. Wenye akili (mastermind) walishaona.
Mmeona mpaka Lisumbufu anaanza kumsifia marehemu mpaka kutaka kuzuru kaburi lake!!! Amkeni kifikra
 
Yani Samia ametanguliza mapenzi yake binafsi kwa kumteua mtu ambaye Marekani imempiga marufuku kukanyaga ardhi yao kwa tuhuma ya kuondolea watu haki ya kuishi!
We juha kweli, kwani ardhi ya marekani mtu asipokanyaga atapata madhara gani? Ndo unaona big deal? Mmeshauzwa kifikra watu kama nyinyi!
Basi malizia usemi wako kwamba...haki ya kuishi na haki ya kuoana wanaume kwa wanaume ambayo wewe unataka iwepo? Bure kabisa
 
Yani Samia ametanguliza mapenzi yake binafsi kwa kumteua mtu ambaye Marekani imempiga marufuku kukanyaga ardhi yao kwa tuhuma ya kuondolea watu haki ya kuishi!
We juha nini? Badala ya kuthamini nchi yako eti unashughulika na mtu kukanyaga Marekani? Kupigwa marufuku Wamarekani kukanyaga Tanzania ina nguvu kuliko mtanzania kukanyaga huko kwao. Ifike wakati mjithamini kdg basi.
Malizia usemi wako kwamba...kuondolea watu haki ya kuishi na haki ya kuoana wanaume kwa wanaume. Jitambue
 
Yani Samia ametanguliza mapenzi yake binafsi kwa kumteua mtu ambaye Marekani imempiga marufuku kukanyaga ardhi yao kwa tuhuma ya kuondolea watu haki ya kuishi!
We juha nini? Badala ya kuthamini nchi yako eti unashughulika na mtu kukanyaga Marekani? Kupigwa marufuku Wamarekani kukanyaga Tanzania ina nguvu kuliko mtanzania kukanyaga huko kwao. Ifike wakati mjithamini kdg basi.
Malizia usemi wako kwamba...kuondolea watu haki ya kuishi na haki ya kuoana wanaume kwa wanaume. Jitambue
 
Mtanyooka tuu maana namna mmeanza Ramli chonganishi baada ya kuona uteuzi wake ukilitetemesha Taifa kwa furaha na kuteka anga la siasa za hapa nchini na nje ya nchi.makonda ndio dawa ya upinzani uchwara wa hapa nchini uliozoea kuokoteza vihabari vya vijiweni. Anakwenda kuwasambaratisheni majukwaani na kila kona ya nchi yenu .anakwenda kula nanyi sahani moja mpaka mpige magoti kuomba msamaha .huo ndio uteuzi na mtu aliyesubiliwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania kuona Makonda akirejea uongozini.kiukweli karejea kwa kishindo kikubwa sana kilicholeta mtikisiko katika mioyo ya upinzani
Kwa walivyo na ufinyu wa kufikiri utaona kina Lisumbufu wanaita press kuhoji ujio wa Makonda. Issue ya bandari yenyewe wameshaiua na kuizika baada ya kuwakataa wanaharakati wazalendo hadharani
 
Kabla ya kumpa uenezi angepewa japo uRC ambao ungempa nafasi ya kujenga urafiki na ukaribu na viongozi mbalimbali ambao walikuwa wanamkatia simu ama kugoma kupokea simu zake.

Makonda ana hasira na watu wengi ambao anapaswa kufanya nao kazi kwa sasa. Hivyo itakuwa ngumu kwa yeye kupata ufanisi. Hatowaamini tena watu hawa, na hatokuwa huru kuonesha umahiri wake kikamilifu.

Mtu sahihi ambaye yuko pending lkn anapendwa na anaiweza kazi ya uenezi ni Humphrey Polepole.
Mwenzako anaandaliwa kuwa Rais 2025, kawekwa pale kimkakati
 
Kabla ya kumpa uenezi angepewa japo uRC ambao ungempa nafasi ya kujenga urafiki na ukaribu na viongozi mbalimbali ambao walikuwa wanamkatia simu ama kugoma kupokea simu zake.

Makonda ana hasira na watu wengi ambao anapaswa kufanya nao kazi kwa sasa. Hivyo itakuwa ngumu kwa yeye kupata ufanisi. Hatowaamini tena watu hawa, na hatokuwa huru kuonesha umahiri wake kikamilifu.

Mtu sahihi ambaye yuko pending lkn anapendwa na anaiweza kazi ya uenezi ni Humphrey Polepole.
Ccm ni wanafiki mno, wote hao watakuwa karibu nae sasa ili kulinda maslahi yao
 
Kwakweli wamemwonea tu jamaa kwenye hiyo kazi. Hataweza.
Wangeanza kwa kumpa uRC au ubunge wa kuteuliwa.
 
Kabla ya kumpa uenezi angepewa japo uRC ambao ungempa nafasi ya kujenga urafiki na ukaribu na viongozi mbalimbali ambao walikuwa wanamkatia simu ama kugoma kupokea simu zake.

Makonda ana hasira na watu wengi ambao anapaswa kufanya nao kazi kwa sasa. Hivyo itakuwa ngumu kwa yeye kupata ufanisi. Hatowaamini tena watu hawa, na hatokuwa huru kuonesha umahiri wake kikamilifu.

Mtu sahihi ambaye yuko pending lkn anapendwa na anaiweza kazi ya uenezi ni Humphrey Polepole.
Makonda ambae serikali ya USA imemkataa asiingie kwao Kwa kudhulumu nafsi za watu Leo ndio Kiongozi wa CCM hiki chama kina masihara sana ata kama sikipendi lkn sio Kwa kulipa huko fadhila, kama mama anampenda aanzishe hotel ampe asimamie
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli..

Na ukweli wenyew ni kwamba CCM imechelewa sana tena sana kumrudisha ulingoni Mwamba huyu.

Raisi kacheza turufu iliyotukuka.

Hongera Le Commandant PAUL MAKONDA.
 
Makonda ambae serikali ya USA imemkataa asiingie kwao Kwa kudhulumu nafsi za watu Leo ndio Kiongozi wa CCM hiki chama kina masihara sana ata kama sikipendi lkn sio Kwa kulipa huko fadhila, kama mama anampenda aanzishe hotel ampe asimamie
Hizo ban hazina maana katika siasa za ndani.

Pumbavu
 
Back
Top Bottom