Hatua gani wanazichukua dhidi ya hao wasaidizi matapeli!? Kama umenyooka msaidizi hawezi fanya ujinga! Kuna kitu anacho take advantage kutoka kwakoAlichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Polepoleeee ndio mwendoo
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Achukue unafkir ndo Tanzania gonna be great au ndo ujinga utapungua.2025 anachukua jimbo
Ni vyema akapeleka taarifa hizi kwa wahusika ili huyo dereva ashtakiwe kwa makosa hayo ya wizi. Ni aibu kulea wezi halafu unalialia mbele ya watu.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Hamna kitu kichwani kwa BashiteDereva atafutwe ahojiwe aseme ukweli. Watanzania sio walewale wa enzi hizooo.
Ipo siku sasha naye atasema wasaidizi wake ndio waliwaondoa wale 'wachafuzi wa mazingira' wa ngorongoro na machinga wa Kariakoo. Na kuwapa rasilimali zetu mabeberu kwa kisingizio cha uwekezaji
Yes wamemalizania purgatory jamaa kasamehe, sasa wote wameingia kule kwenye uzima wa milele.Wamemalizana "pagatorini" au wapi kaka njaa Pascal Mayalla !!?
Ni kama anavyotuona Kiboko ya Wachawi.Hivi bwana Bashite anatuonaje labda?..
Achana na marehemu tudili na huyu aliye haiHii alisemaga Lyatonga Mrema 😄
Mgogohalisi kabisa2025 anachukua jimbo
Sio kuwaza ndio uhalisia. JPM alimbania sasa hivi njia nyeupe.Mgogohalisi kabisa
Wewe mwenyewe ulitaraji utawaza tofauti?
LuuuucaaassDereva ana akili sana. Aliona Boss anachofanya mchana, yeye akajipa night shift
Inasikitisha sanaAmeshawasoma Chugaland kagundua ni wepesi na mafala tu, hata matukio yao ni kunywa pombe na kulawitiana. Hata ukiangalia kinachoipa promo Chuga ukiondoa utalii, kinachofuata ni ku sodomiana na pombe.