Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
 

View: https://x.com/Roma_Mkatoliki/status/1829361185566658577?t=PgbhlG60mF9fW663udBm6A&s=09

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dreva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda lwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane

Acha chuki tafuta maisha. Au u nafikiri kwa, vinyuz vya chuki ndio utapata life.
 
View attachment 3082492

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dreva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda lwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Hapa kama kweli ndiye kasema, niuwongo wa kiwango cha juu kabisa. Aende sekretarieti ya maadili akiri utajiri alionao, na aeleze vyanzo vya kuupata.
 
View attachment 3082492

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dreva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda lwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Alichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
 
View attachment 3082492

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dreva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda lwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Story za kitoto kabisa hizi. Is this how anavyojaribu kujisafisha? Na yule aliyetaka kudhurumu nyumba ya GSM alikuwa ni dereva wake?
Na yale Magari ya kitahari aliyokuwa akinyang’anya watu na kuyatumia kwa shughuli zake binafsi na zavkiofisi akiweka plate number za RC na bendera alikuwa ni dereva wake?
 
Alichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Anaweza akaongea ukweli, ila hapo muongo ni yeye kutaka kujitenga na hayo matukio. Ukiona dereva alithubutu kufanya hivyo, basi jua hiyo ndiyo ilikuwa michezo ya boss wake, so ilikuwa ni michezo yao kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
View attachment 3082492

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dreva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda lwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Huyu jamaa kimeo sana.
 
Anaweza akaingea ukweli, ila hapo us ngo ni yeye kutaka kujitenga na hayo matukio. Ukiona sereva alithubutu kufanya hivyo, basi jua hiyo ndiyo ilikuwa michezo ya boss wake, so ilikuwa ni micheso yao kila mmoja lea urefuvwa kamba yake.
Hapana kabisa, hujui uhalisia. Hebu wewe uje ujaribu kutaka kuonana na kiongozi kama waziri uone. Wateule wengi wanakuwa wamefanyiwa vetting za kutosha hawezi kuwa mchukua rushwa
 
Hapana kabisa, hujui uhalisia. Hebu wewe uje ujaribu kutaka kuonana na kiongozi kama waziri uone. Wateule wengi wanakuwa wamefanyiwa vetting za kutosha hawezi kuwa mchukua rushwa
Usijidanganye kuwa eti sijui uhalisia, ninafahamu kuliko uliyohadithiwa. Kwa kifupi huyo Makonda wajinga ndiyo wanakao buy hizo story zake. Makinda anajulikana kwa matukio yake ya hovyo na uzuri alikuwa anakwenda front mwenyewe.
Yule aliyefoji dicuments akawa anang’ang’ania ghorifa la GSM pale Masaki alikuwa ni dereva wake?
Na kea kuwa ameitoa hiyo kauli hadharani, subiri majibu yake, mtaipenda show
 
View attachment 3082492

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Huyu alikuwa anamtuma ni tapeli mwenzake
 
Back
Top Bottom