Makonda effect: Nani alishiriki mkutano huu wa Lema juzi?

Makonda effect: Nani alishiriki mkutano huu wa Lema juzi?

Shida mnafanya mambo Sio kwa uhalisia Bali kupambana na CHADEMA. Ndio maana mnahangaika.
 
Vyama vya upinzani vilisema JPM anauwa upinzani kwa kuwanyima mikutano ya hadhara, mama kaingia kawarugusu wafanye mikutano yao ndio wamezidi kupotea kabisa, sasa hapo shida ni JPM au ni wao wenyewe kuna mahala wameteleza ila ndio hivyo hawakubaligi ushauri.
 
Chadema ilishajifia na CCM imejichokea tuna bahati mbaya Sana kukosa chama makini cha siasa
Huu ndio ukweli tunahitaji chama kipya kama vijana wa Senegal, Sri Lanka na Bangladesh,mawazo mapya kama ya vijana wa Kenya, vyama ambayo havijikita kidini, kikabila, kikanda, kibaguzi wa aina yoyote ile.

Movements hizi zilijikita zaidi kupigania rasilimali za Taifa, utawala bora, ajira, inflation kushuka nk.

Kiukweli hatuhitaji chama Bali movement ya Watanzania wote itakayoongozwa na vijana. Baadaye wakiitoa hii serikali madarakani wataunda kundi, chama kuwaunganisha wote.
 
Vyama vya upinzani vilisema JPM anauwa upinzani kwa kuwanyima mikutano ya hadhara, mama kaingia kawarugusu wafanye mikutano yao ndio wamezidi kupotea kabisa, sasa hapo shida ni JPM au ni wao wenyewe kuna mahala wameteleza ila ndio hivyo hawakubaligi ushauri.

Wewe ndio umepotea. Upinzani ingekuwa umepotea msingetumia muda kujadili, mngebaki mnaijadili CCM . Punguza unafiki
 
Mlipewa na ulinzi wa polisi Mbalizi hadi Mbeya.
Mijitu ilikuwa hoi bin taaban. Sidhani kama wataurudia upumbavu huu

Punguza kudandia mambo wewe chawa wa mama. Mimi naongelea maandamano ya juzi Magomeni wewe unaniletea maandamano ya Mbeya. Stupid idiot
 
Ilikuwa tu kuwaonyesha kuwa Dola ipo......only that!

Dola ipi? Hii ya mtu kushushwa kwenye basi na kuuawa? Hii ambayo hajui nani mwizi wa Kodi mpaka mama yenu analia?. Dola gani?. Dola ambayo ipo kwa ajili ya kuwaumiza CHADEMA. Punguza unafiki
 
Watanzania wa aina ya mleta mada wana mchango mdogo sana ktk taifa hili
 
Huu ndio ukweli tunahitaji chama kipya kama vijana wa Senegal, Sri Lanka na Bangladesh,mawazo mapya kama ya vijana wa Kenya, vyama ambayo havijikita kidini, kikabila, kikanda, kibaguzi wa aina yoyote ile.

Movements hizi zilijikita zaidi kupigania rasilimali za Taifa, utawala bora, ajira, inflation kushuka nk.

Kiukweli hatuhitaji chama Bali movement ya Watanzania wote itakayoongozwa na vijana. Baadaye wakiitoa hii serikali madarakani wataunda kundi, chama kuwaunganisha wote.

Anzisha hicho chama Sasa. Shida mmelala ndani mnasubiri individuals wajitolee muwatukane na kuwacheka. Lissu alilimwa Risasi wewe ukawa msari wa mbele kumkebehi, Mbowe kapewa kesi ya ugaidi ila ukamkebehi. Leo unaleta stori za kinafiki. Anzisha hicho chama Kama utaweza. Hizo nchi ulizotaja Zina mfumo mzuri wa kikatiba sio kama bongo ambapo kikundi Cha watu wachache wanaamua matokeo ya uchaguzi kama 2020.
 
Anzisha hicho chama Sasa. Shida mmelala ndani mnasubiri individuals wajitolee muwatukane na kuwacheka. Lissu alilimwa Risasi wewe ukawa msari wa mbele kumkebehi, Mbowe kapewa kesi ya ugaidi ila ukamkebehi. Leo unaleta stori za kinafiki. Anzisha hicho chama Kama utaweza. Hizo nchi ulizotaja Zina mfumo mzuri wa kikatiba sio kama bongo ambapo kikundi Cha watu wachache wanaamua matokeo ya uchaguzi kama 2020.
Niwekee hata sehemu moja nilipo mkebehi Mbowe, Lissu, huwa mnaongea hivi mkitukana yoyote aliye neutral. Tuhuma za uongo, uzushi, wabobezi kwenye hilo.

Kamwe hamuwezi kufanikiwa na sababu mnaongea nyie wenyewe kwa wenyewe kundi dogo, kaskazini, kutumia matusi, dhihaka, kejeli, vijana wachache wa Dar wa wengine wote mnawatukana. Haikuwa hivyo wakati wa Dr Slaa. Mnahitaji mtandao imara.
 
Dola ipi? Hii ya mtu kushushwa kwenye basi na kuuawa? Hii ambayo hajui nani mwizi wa Kodi mpaka mama yenu analia?. Dola gani?. Dola ambayo ipo kwa ajili ya kuwaumiza CHADEMA. Punguza unafiki
Nitaongea na wewe ukitoka hospitali, ni dhahiri upo wodini umelazwa.
 
Mleta mada ni mnafiki wa kwanza duniani.
Wewe kiongozi wa Chadema nahisi wewe ni Lema, una tofauti gani na mleta mada kwa mada zako hapa JF? Wewe hata ukipewa kijiji utaajiri watu wako, kabila, dini, Kanda yako wengine wote utafukuza. Una tofauti gani na CCM.
 
View attachment 3122530

Naona kila mtu yupo busy na Landlover festival.

Makamanda Arusha tupeni feedback ya mkutano wa Lema wa juzi.


Au ndio kashapotezwa na Makonda kwa kukubalika kwa Makonda?
Hatimae machali wameshtuka baada ya siasa za kipuuzi kwa zaidi ya miaka ishirini (kupinga kila kitu).Kibaya zaidi hizi siasa za kupinga kila kitu zilikuwa zinaratibiwa na kilaza eliefeli kidato cha nne na hakutaka kuniendeleza kielimu (LEMA).
Machali ,hongereni saana kwa KUJITAMBUA
 
Back
Top Bottom