Makonda effect: Nani alishiriki mkutano huu wa Lema juzi?

Makonda effect: Nani alishiriki mkutano huu wa Lema juzi?

Vyama vya upinzani vilisema JPM anauwa upinzani kwa kuwanyima mikutano ya hadhara, mama kaingia kawarugusu wafanye mikutano yao ndio wamezidi kupotea kabisa, sasa hapo shida ni JPM au ni wao wenyewe kuna mahala wameteleza ila ndio hivyo hawakubaligi ushauri.
Nilishatoaga uzi humu ,vyama vya upinzani vimekosa wanachama ambao ni wabobezi wa mikakati .Huwezi jenga chama kwa kutumia viongozi ambao ni below average minds wengi wao halafu chama husika kiache kusinyaa .
 
Wewe kiongozi wa Chadema nahisi wewe ni Lema, una tofauti gani na mleta mada kwa mada zako hapa JF? Wewe hata ukipewa kijiji utaajiri watu wako, kabila, dini, Kanda yako wengine wote utafukuza. Una tofauti gani na CCM.
Hivyo hii SACCOS ya mzee Mbowe pale makao walioajiriwa wengi ni kutoka kabila gani?
 
Wana Jamiiforums wengi mna akili za kitoto sana halafu nawashangaa na Nyinyi mnakuja na hoja za Kitoto tena za Kijinga mnooo. Hivi unawezaje kuilinganisha CCM na CHADEMA? 😅😅😅
Yaani ni ujinga na utoto mwingi sana na watu wamekomaa na kuanzisha uzi na watu nao wanajibu. Kiuhalisia CHADEMA ndiye anayeleta Upinzani kwa CCM maana kuna vyama vingine vya Upinzani lakini ikizungumziwa siasa za Tanzania hasa kwa Chama kama CCM kukilinganisha na CHADEMA na sio ACT,CUF,CHAUMA hiyo ni ishara ya kuonesha CCM ina upinzani mkali sana. Wanajamiiforums nao hata jinsi ya kuwasilisha maada zao ni shida tupu inakuwa kama tupo kwenye zama za Ray na Kanumba au Diamond na Ali Kiba?
 
ajabu mawakala wa chadema huko kwenye kuandikisha wanakosa hata chakula cha mchana na maji ya kunywa ukitaka kuamini chadema ni watu wa hovyo
 
Wana Jamiiforums wengi mna akili za kitoto sana halafu nawashangaa na Nyinyi mnakuja na hoja za Kitoto tena za Kijinga mnooo. Hivi unawezaje kuilinganisha CCM na CHADEMA? 😅😅😅
Yaani ni ujinga na utoto mwingi sana na watu wamekomaa na kuanzisha uzi na watu nao wanajibu. Kiuhalisia CHADEMA ndiye anayeleta Upinzani kwa CCM maana kuna vyama vingine vya Upinzani lakini ikizungumziwa siasa za Tanzania hasa kwa Chama kama CCM kukilinganisha na CHADEMA na sio ACT,CUF,CHAUMA hiyo ni ishara ya kuonesha CCM ina upinzani mkali sana. Wanajamiiforums nao hata jinsi ya kuwasilisha maada zao ni shida tupu inakuwa kama tupo kwenye zama za Ray na Kanumba au Diamond na Ali Kiba?
Ni lazima tuizungumzie sana chadem kwa maana ya siasa zake za kibaguzi .Hii SACCOS ni lazima ipigwe vita kwa maana wao hawaendishi siasa bali ni biashara kwa mgongo wa SIASA
 
Ni lazima tuizungumzie sana chadem kwa maana ya siasa zake za kibaguzi .Hii SACCOS ni lazima ipigwe vita kwa maana wao hawaendishi siasa bali ni biashara kwa mgongo wa SIASA
Uko poa lakini ???🤣🤣🤣
 
View attachment 3122530

Naona kila mtu yupo busy na Landlover festival.

Makamanda Arusha tupeni feedback ya mkutano wa Lema wa juzi.


Au ndio kashapotezwa na Makonda kwa kukubalika kwa Makonda?
Makonda kwani mbunge? Makonda si wq serekali? na sio mwenyekiti wa ccm Arusha? Halafu unafurahia mtu wa serekali kupambana na mtu wa siasa wa upinzani? Angalau ungalikuja na hoja ya Gambo vs Lema. Unakuja na mkuu wa mkoa mwenyejeshi vs raia asienajeshi? Dah halafu unafurahia uonevu? Mtu wa dini gani weye usiejua baya na jema?
 
Punguza kudandia mambo wewe chawa wa mama. Mimi naongelea maandamano ya juzi Magomeni wewe unaniletea maandamano ya Mbeya. Stupid idiot
Wapi umetaja maandamano ya Magomeni?
Anyway sera za Saccos yenu ya wachaga ni matusi tu.
Mtanyonyolewa bila maji 2025.
 
View attachment 3122530

Naona kila mtu yupo busy na Landlover festival.

Makamanda Arusha tupeni feedback ya mkutano wa Lema wa juzi.


Au ndio kashapotezwa na Makonda kwa kukubalika kwa Makonda?
Eti mheshimiwa Lema kuhutubia. Hivi ukishakua sio mbunge tena unaendelea kuitwa Mheshimiwa mpaka lini?..au ndio tittle ya uheshimiwa unakua nayo milele?
 
View attachment 3122530

Naona kila mtu yupo busy na Landlover festival.

Makamanda Arusha tupeni feedback ya mkutano wa Lema wa juzi.


Au ndio kashapotezwa na Makonda kwa kukubalika kwa Makonda?
CHADEMA NI WAPUMBAVU..... WAMEDHARAU VALUE OF COMMON SENSE THEY TRY VERY HARD TO USE STUPIDITY AND STUPID PEOPLE...ndani ya chama cha chadema wanamchukia kila mwenye AKILI.... anaye ona vyema ....mimi binafsi nashindwa kutofautisha upumbavu wa ccm na upumbavu wa chadema...tena kwa sasa bora ccm wapo wazalendo wengi na makini kuliko chadema sema hao wazalendo waliopo ccm kuna vitu vimewapiga pin ...wahuni wamekuwa na nguvu kuliko wao hivyo wameamua kuteki kava
 
Wana Jamiiforums wengi mna akili za kitoto sana halafu nawashangaa na Nyinyi mnakuja na hoja za Kitoto tena za Kijinga mnooo. Hivi unawezaje kuilinganisha CCM na CHADEMA? 😅😅😅
Yaani ni ujinga na utoto mwingi sana na watu wamekomaa na kuanzisha uzi na watu nao wanajibu. Kiuhalisia CHADEMA ndiye anayeleta Upinzani kwa CCM maana kuna vyama vingine vya Upinzani lakini ikizungumziwa siasa za Tanzania hasa kwa Chama kama CCM kukilinganisha na CHADEMA na sio ACT,CUF,CHAUMA hiyo ni ishara ya kuonesha CCM ina upinzani mkali sana. Wanajamiiforums nao hata jinsi ya kuwasilisha maada zao ni shida tupu inakuwa kama tupo kwenye zama za Ray na Kanumba au Diamond na Ali Kiba?
Nchi ina bahati mbaya ya kua na wagonjwa wengi wa akili na wupuuzi wanaomiliki simu za mkononi.Hawana hoja chanya zakujenga nchi ata baada ya kizazi chao kupita zaidi ya ujinga ujinga tu.
 
CHADEMA NI WAPUMBAVU WAMEDHARAU VALUE OF COMMON SENSE THEY TRY VERY HARD TO USE STUPIDITY AND STUPID PEOPLE...ndani ya chama cha chadema wanamchukia kila mwenye akili anaye onavyema ....mimi binafsi nashindwa kutofautisha upumbavu wa ccm na upumbavu wa chadema...tena kwa sasa bora ccm wapo wazalendo wengi na makani kuliko chadema sema hao wazalendo waliopo ccm kuna vitu vimewapiga pin ...wahuni wamekuwa na nguvu kuliko wao hivyo wameamua kutakekava
Upo sahihi sana mkuu.
 
Back
Top Bottom