Kumbe na wewe ni CHAWA wa CCM?
akili zako ndo zimekutuma ivyo??Mlipewa na ulinzi wa polisi Mbalizi hadi Mbeya.
Mijitu ilikuwa hoi bin taaban. Sidhani kama wataurudia upumbavu huu
Kauli hizi zitamgharimu - Konda ndo story za ARtownLema alisema bodaboda ni laana.
Na alivyo na akili ndogo bado huwa anawaomba wapambe mikutano yakeLema alisema bodaboda ni laana.
Na ugali ni chakula cha Maskini๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธLema alisema bodaboda ni laana.
Hadi anatutia aibu sisi Wamangi wengine aisee ,hata hivyo huyu sio Mangi haswa wamejipachika tu.Mjinga sana yule mangi