Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua


Wafanyabiashara ndio wanasiasa wenyewe MKUU.
Sijui Kama unajua unachokiongea.

Siasa ni biashara,
 
Kheri upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga
 


Kwanini Makonda asiende mahakamani kama ana hoja!
 
Dah...

What a tragedy.!! Such a sad ending for Sukuma Gang!
 
[emoji106] Mtu anakujengea nyumba halafu documents anakaa nazo, unaona ni sawa tu! Zero brain indeed!
 
Uoga huo. Nadhan kila mtu anapaswa kudai haki yake na kutetea hadhi yake bila kujali anayekandamiza ni mwanasiasa au sio mwanasiasa. Halafu sukuma gang unadhan ni kitu gani? Una uhakika gani kuwa hao unaowaita sukuma gang ni maswahiba wa Makonda?
 
Hoja ya msingi ni nani mmiliki wa eneo. Makonda apeleke vielelezo amuaibishe huyu GSM
 
Makonda kumbuka kuwa yatima hadeki, ulifanya kazi na kujimilikisha mali kwa mgongo wa jiwe. Sasa mambo yamebadilika mzee
 
Kwa hiyo kauli yake nchi zenye akili angetiwa mbaroni kwa "obstruction of justice"
 
Bila bila? Wakati amenisurika kupigwa Bomba, na hana mamlaka ya kuambia askari wafungue kesi yoyote, now toothless.

R.I.P Mkurugenzi wa Jiji ndugu Kabwe, jamaa anarostiwa akiwa mzima
Aliyekuwa mkurugenzi wa JiJi ilikuwaje ? Tujuee apo
 
Makonda anaongea uozo wa GSM 🤣? subiri waje wale wote aliowadhulumu, kuwateka etc na watakao mchoma ni wale wale alioshirikiana nao kufanya uharamia wake ,huyu alikuwa na akili kama ya Sabaya tuu ila watamshughulikia tuu na wameshaanza maana kisharushiwa kesi na sasa nyumba, kweli ubaya haulipi
 
Uozo wa Ghalib hausiani na wewe kupora kiwanja.
Kama ulikua unaujua uozo waks ulipaswa kisheria ukaseme kwa vyombo vya dola.
Wewe Makonda kukaa kimya ni makosa kisheria.
Kaogeleew kwenye huo uozo ufurahi.
Rudisha kiwanja cha watu nadala ya kutoa vitisho
 
Jamani hebu tujaribu kujiuliza swali ivi yule kiongoz wa malaika alietuaminisha yeye ni mzalendo namba moja hakua anajua lolote juu ya huyu mwanae? Kama ndivyo u wap usafi wake ikiwa alifumbia macho anaowapenda? Double standard ya kukemea rushwa ndio alikua anajikosha nayo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…