Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

Makonda hafai kuwa kiongozi kabisa. Uongozi unahitaji busara na hekima kama Rais Samia alivyo

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
 
Sio makonda, hata huyo mwingine uliyemtaja pia hafai kiwa kiongozi, haswa kwa taifa kama ili ambalo liko hoi kiuchumi, uongozi unahitaji tabia nyingi, ubabe, usikuivu, upole, unyenyekevu, ukatili, AKILI KUBWA, mwenye MAONO etc.

Sasa viongozi wetu akiwa mpole ndio mpoleee, sifa nyingine anakosa, akiwa mbabe ndio mbabe anaona kamaliza, hatuwezi kufika kwa tabia moja.
 
Wale ni makahaba, labda mkuu amemalizana na matatizo ya raia kakosa la kufanya. Kuna wakati unaweza dhani kiongozi kashauriana na mkewe kesho kafanye hivi na likafanyika, hakuna vipaumbele.
Hakuna sheria ya nchi inayokata ukahaba/umalaya mkuu
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Mama ana busara
Makonda kateuliwa na Mama
Makonda ana busara pia.
 
Hii nchi Samia asingeinusuru baada ya torture tulizozipitia surely akina tundu lisu na lema au mbowe wangekuwa bado wako ughaibuni kuogopa kuuawa.

Hii nchi mama kaitoa mbali sana tulikuwa tunaishi kama vile tuko motoni. Ukiamka hijui kama leo ni zami yako kutekwa au la.

Hata information muhimu tulikuwa hatupai kabisa mana magazeti yale ya kuibua madudu yalifungwa kama.vile tanzania dima, mawio, jamhuri nk. Leo yanaandik chochote

Watu tunafurahia maisha biashara zimerudi kama zamani, mahoteli yaliyofungwa kibabe yamerudi kam ngurdoto nk.

Viwanda vilivyofungwa kinzazi kabisa vina operate sasa hivu kama viwanda vya chunvi kule bagamoyo.

Hakuna ubabe tena tulikuwa tumezoea na nchi imetulia sasa mjinga mmoja anayeitwa makonda anataka kuichafua tena nchi.

Hata maaskofu kanisa katoliki hawakupenda kabisa uongozi wa jiwe ndo mana nyaraka zililuwa nyingi. We mtu gani ukikosolewa unatishia kushila pasport kama laivyofanya kwa ask. Niwemugizi na kakobe.
Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
Samia hana maamuzi .

Mtu aliyechagua kusikiliza zaidi watu anaowaamini kuliko kufanya maamuzi yenye tija huwezi sema hiyo ni busara.
 
Jamii inahitaji sana watu kama aina ya Makonda.
Ubabe wake unasaidia sana wanao onewa.
Kuna mijitu ina fedha na wanatumia uwezo wao wa kifedha kuonea na kuwadhulumu wanyong'e wasio na uwezo.
Kuna mijitu inatumia madaraka yao kuwadhulumu wasio julikana.
Kama tutakuwa na viongozi wa aina ya Makonda basi uonevu na dhuluma zitakwisha kabisa.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuteua basi Makonda anafaa kuwa Waziri kamili.
 
Samia hana maamuzi .

Mtu aliyechagua kusikiliza zaidi watu anaowaamini kuliko kufanya maamuzi yenye tija huwezi sema hiyo ni busara.
Utawala wa sheria hautaki rais awe final katika maamuzi. Mahakama zipo, bunge lipo hivyo rais siyo final kama ilivyo katika nchi zinazoheshimi utawala wa sheria kama marekani ambapo rais siyo final bali bunge.
 
Jamii inahitaji sana watu kama aina ya Makonda.
Ubabe wake unasaidia sana wanao onewa.
Kuna mijitu ina fedha na wanatumia uwezo wao wa kifedha kuonea na kuwadhulumu wanyong'e wasio na uwezo.
Kuna mijitu inatumia madaraka yao kuwadhulumu wasio julikana.
Kama tutakuwa na viongozi wa aina ya Makonda basi uonevu na dhuluma zitakwisha kabisa.

Kama ningekuwa na uwezo wa kuteua basi Makonda anafaa kuwa Waziri kamili.
Mahakama zipo kwa ajiri hiyo vinginevyo zingefutwa. Makonda hawezi kuwa mahakama. Kesho akiamua kula mke wako utamfanyaje mana akiachwa ndo kitakachofata
 
Utawala wa sheria hautaki rais awe final katika maamuzi. Mahakama zipo, bunge lipo hivyo rais siyo final kama ilivyo katika nchi zinazoheshimi utawala wa sheria kama marekani ambapo rais siyo final bali bunge.
Hakuna nchi ambayo ina ceremonial president kwa asilimia zote.

Lazima kuna mambo anakuwa na mamlaka nayo kwa asilimia zote kwamba yeye ndio final.

Sasa kama mtu Huna maamuzi kuna haja gani ubakie hapo ulipo.

Unafikiri kwanini tuendelee kuwa na wewe.

Kwani ni lazima??

Si ujiuzulu tu.
 
Hakuna nchi ambayo ina ceremonial president kwa asilimia zote.

Lazima kuna mambo anakuwa na mamlaka nayo kwa asilimia zote kwamba yeye ndio final.

Sasa kama mtu Huna maamuzi kuna haja gani ubakie hapo ulipo.

Unafikiri kwanini tuendelee kuwa na wewe.

Kwani ni lazima??

Si ujiuzulu tu.
Rais mzuri ni yule anayeheshimu vyombo vingine siyo yeye ndo kila kitu kama ilivyokuwa kwa jpm. Kipindi cha jpm mahakama na bunge vilikuwa na kazi mana yeye ndo alikuwa kila kitu. Utawala wa sheria hautaki hivyo. Rais yeye yuko katika mhimili wa serikali ambayo kazi yake ni kukamata tu na kuiachia mahakama kufanya kazi yake.
 
Back
Top Bottom