- Thread starter
- #61
Ncho siyo familia ndugu yangu ina mchanganyiko wa wehu na welevu kama rais lazima ujue hiloHii nchi ukiwa na busara sana wanakuona mjinga, dawa kiburi ni jeuri... Makondq yuko sawa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ncho siyo familia ndugu yangu ina mchanganyiko wa wehu na welevu kama rais lazima ujue hiloHii nchi ukiwa na busara sana wanakuona mjinga, dawa kiburi ni jeuri... Makondq yuko sawa!!!
Vp makonda nae akiwa muonevu kwa wengineJamii inahitaji sana watu kama aina ya Makonda.
Ubabe wake unasaidia sana wanao onewa.
Kuna mijitu ina fedha na wanatumia uwezo wao wa kifedha kuonea na kuwadhulumu wanyong'e wasio na uwezo.
Kuna mijitu inatumia madaraka yao kuwadhulumu wasio julikana.
Kama tutakuwa na viongozi wa aina ya Makonda basi uonevu na dhuluma zitakwisha kabisa.
Kama ningekuwa na uwezo wa kuteua basi Makonda anafaa kuwa Waziri kamili.